Mapokeo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'right|thumb|Maadhimisho ya sikukuu yanaweza kuendelea kama mapokeo, kama katika [[meza na mapambo haya ya Krismasi...' |
No edit summary |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
||
[[Jamii: |
[[Jamii:Elimu jamii]] |
||
[[Jamii:Dini]] |
[[Jamii:Dini]] |
Pitio la 09:08, 15 Oktoba 2015
Mapokeo (kutoka kitenzi kupokea) ni imani au desturi zilizorithishwa katika kundi au jamii fulani zikiwa na maana maalumu tangu zamani.[1]
Kati yake kuna sikukuu, salamu na mavazi ambayo hayafai sana kutumika lakini yana maana kijamii, hasa kwa kumtambulisha mtu aliyeyavaa (k.mf. askari, mwanasheria, mtawa).
Mapokeo yanaweza kudumu na kubadilika kwa miaka elfuelfu, lakini yanaweza kuanzishwa na kuenea haraka.
Jina la Kiingereza "tradition" linatokana na kitenzi cha Kilatini tradere, yaani kueneza au kukabidhi.
Wazo hilo linatumika pia katika siasa, falsafa na dini, k.mf. kwa kwenda kinyume cha usasa.
Tanbihi
- ↑ Thomas A. Green (1997). Folklore: an encyclopedia of beliefs, customs, tales, music, and art. ABC-CLIO. ku. 800–. ISBN 978-0-87436-986-1. Iliwekwa mnamo 5 February 2011. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |