Masokwe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 22: Mstari 22:
== [[Uainishaji]] ==
== [[Uainishaji]] ==
Familia ya juu [[Sokwe (Hominoidea)|Hominoidea]]
Familia ya juu [[Sokwe (Hominoidea)|Hominoidea]]
* Familia [[Hylobatidae]] (Masokwe wadogo)
* Familia [[Masokwe wadogo]] ([[Kilatini]]: ''Hylobatidae'')
** Jenasi ''[[Hylobates]]'' ([[Giboni]], [[w:Hylobates|Hylobates]])
** Jenasi ''[[Giboni]]'' (Kilatini: ''Hylobates'')
** Jenasi ''[[Hoolock]]'' ([[w:Hoolock gibbon|Hoolock gibbon]])
** Jenasi ''[[Hoolock]]'' ([[w:Hoolock gibbon|Hoolock gibbon]])
** Jenasi ''[[Nomascus]]'' ([[w:Nomascus|Nomascus]])
** Jenasi ''[[Nomascus]]'' ([[w:Nomascus|Nomascus]])
Mstari 29: Mstari 29:
* Familia [[Hominidae]] (Masokwe wakubwa)
* Familia [[Hominidae]] (Masokwe wakubwa)
** Nusufamilia [[Ponginae]] ([[w:Ponginae|Ponginae]])
** Nusufamilia [[Ponginae]] ([[w:Ponginae|Ponginae]])
*** Jenasi [[Orangutanu]] ([[Kilatini]]: ''Pongo'')
*** Jenasi [[Orangutanu]] (Kilatini: ''Pongo'')
** Nusufamilia [[Homininae]] ([[w:Homininae|Homininae]])
** Nusufamilia [[Homininae]] ([[w:Homininae|Homininae]])
*** Kabila [[Gorillini]]
*** Kabila [[Gorillini]]

Pitio la 17:19, 1 Oktoba 2015

Sokwe
Sokwe Mtu
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe))
Ngazi za chini

Familia 2:

Masokwe ni wanyama wa familia ya juu Hominoidea. Kuna familia mbili za masokwe: Hylobatidae (masokwe wadogo au giboni) na Hominidae (masokwe wakubwa na binadamu). Masokwe wadogo huishi daima mitini na huteremka kwa nadra. Wana mikono mirefu ili kining'inia kutoka tawi moja hadi jingine na kutoka mti mmoja hadi mwingine. Wanatokea misitu ya tropiki ya Asia. Masokwe wakubwa hupitisha muda pengine mrefu ardhini, orangutanu muda kidogo tu na ngagi muda mrefu sana. Takriban spishi zote zinatokea Afrika lakini orangutanu wanatokea Asia ya Mashariki.

Uainishaji

Familia ya juu Hominoidea

Picha

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.