Sokwe (Hominidae) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 16: Mstari 16:
| familia = [[Hominidae]] ([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])
| familia = [[Hominidae]] ([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])
| subdivision = [[Jenasi]] 4:
| subdivision = [[Jenasi]] 4:
* [[Pongo (jenasi)|Pongo]] (Orangutanu) <small>[[Bernard Germain Étienne de la Ville, Comte de Lacépède|Lacépède]], 1799</small><br />
* [[Orangutanu]] (''Pongo'') <small>[[Bernard Germain Étienne de la Ville, Comte de Lacépède|Lacépède]], 1799</small><br />
* [[Gorilla]] (Ngagi) <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy]], 1852</small><br />
* [[Ngagi]] (''Gorilla'') <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy]], 1852</small><br />
* [[Pan]] (Sokwe mtu) <small>[[Lorenz Oken|Oken]], 1816</small><br />
* [[Sokwe mtu]] (''Pan'') <small>[[Lorenz Oken|Oken]], 1816</small><br />
* [[Homo]] (Binadamu) <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
* [[Homo]] (Binadamu na jamaa) <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
}}
}}
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii.
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii.

Pitio la 14:18, 1 Oktoba 2015

Sokwe
Ngagi
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Animalia
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe)
Familia: Hominidae (Masokwe wakubwa)
Ngazi za chini

Jenasi 4:

Sokwe mkubwa au sokwe peke yake ni jina la binadamu na nyani wakubwa wa familia Hominidae wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (Homo) anahesabiwa pia kama jenasi yenye spishi moja katika familia hii.

Eneo na uenezaji

Masokwe wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika (masokwe mtu na ngagi) na Asia (orangutanu). Wote ni wakazi wa misitu ila tu masokwe mtu wanaingia pia kwenye nchi ya manyasi.

Uainishaji

Spishi zilizokwisha

Picha

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sokwe (Hominidae) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.