Sokwe (Hominidae) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
| familia = [[Hominidae]] ([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]]) |
| familia = [[Hominidae]] ([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]]) |
||
| subdivision = [[Jenasi]] 4: |
| subdivision = [[Jenasi]] 4: |
||
* [[ |
* [[Orangutanu]] (''Pongo'') <small>[[Bernard Germain Étienne de la Ville, Comte de Lacépède|Lacépède]], 1799</small><br /> |
||
* [[ |
* [[Ngagi]] (''Gorilla'') <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy]], 1852</small><br /> |
||
* [[ |
* [[Sokwe mtu]] (''Pan'') <small>[[Lorenz Oken|Oken]], 1816</small><br /> |
||
* [[Homo]] (Binadamu) <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small> |
* [[Homo]] (Binadamu na jamaa) <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small> |
||
}} |
}} |
||
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii. |
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii. |
Pitio la 14:18, 1 Oktoba 2015
Sokwe | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
Jenasi 4:
|
Sokwe mkubwa au sokwe peke yake ni jina la binadamu na nyani wakubwa wa familia Hominidae wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (Homo) anahesabiwa pia kama jenasi yenye spishi moja katika familia hii.
Eneo na uenezaji
Masokwe wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika (masokwe mtu na ngagi) na Asia (orangutanu). Wote ni wakazi wa misitu ila tu masokwe mtu wanaingia pia kwenye nchi ya manyasi.
Uainishaji
- Ponginae (w:Ponginae)
- Orangutanu, Pongo abelii
- Orangutanu wa Sumatra, Pongo abelii (Sumatran Orangutan)
- Orangutanu wa Borneo, Pongo pygmaeus (Bornean Orangutan)
- Orangutanu, Pongo abelii
- Homininae (w:Homininae)
- Gorillini
- Ngagi, Gorilla
- Ngagi Mashariki au Gorila Mashariki, Gorilla beringei (Eastern Gorilla)
- Ngagi-milima, Gorilla b. beringei (Mountain Gorilla: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Uganda)
- Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki, Gorilla b. graueri (Eastern Lowland Gorilla: Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
- Ngagi Magharibi au Gorila Magharibi, Gorilla gorilla (Western Gorilla)
- Ngagi wa Nijeria, Gorilla g. diehli (Cross River Gorilla: Nijeria na Kameruni)
- Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi, Gorilla g. gorilla (Western Lowland Gorilla: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gaboni, Ginekweta, Kongo, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo na Angola)
- Ngagi Mashariki au Gorila Mashariki, Gorilla beringei (Eastern Gorilla)
- Ngagi, Gorilla
- Hominini (w:Hominini)
- Sokwe Mtu, Pan
- Bonobo au Sokwe Mtu Mdogo, Pan paniscus (Bonobo au Pygmy Chimpanzee: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo)
- Sokwe Mtu wa Kawaida, Pan troglodytes (Common Chimpanzee)
- Sokwe Mtu Mashariki, Pan t. schweinfurthii (Eastern Chimpanzee: Jamhuri ya Afrika ya Kati, Sudani, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania na Zambia)
- Sokwe Mtu wa Kati, Pan t. troglodytes (Central Chimpanzee: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Ginekweta, Gaboni, Kongo na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
- Sokwe Mtu wa Nijeria, Pan t. vellerosus (Nigerian Chimpanzee: Nijeria na Kameruni)
- Sokwe Mtu Magharibi, Pan t. verus (Western Chimpanzee: Senegali, Mali, Gine, Sierra Leone, Liberia, Kodivaa na Ghana)
- Homo
- Binadamu, Homo sapiens
- Sokwe Mtu, Pan
- Gorillini
Spishi zilizokwisha
- Ankarapithecus meteai (Mwisho wa Miocene ya Uturuki)
- Ardipithecus kadabba (Mwisho wa Miocene ya Uhabeshi)
- Ardipithecus ramidus (Mwanzo wa Pliocene ya Uhabeshi)
- Australopithecus afarensis (Pliocene ya Kenya, Tanzania na Uhabeshi)
- Australopithecus africanus (Pliocene ya Afrika Kusini)
- Australopithecus anamensis (Pliocene ya Kenya na Uhabeshi)
- Australopithecus bahrelghazali (Pliocene ya Chadi)
- Australopithecus garhi (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi)
- Australopithecus sediba (Pleistocene ya Afrika Kusini)
- Gigantopithecus bilaspurensis (Mwisho wa Miocene ya Pakistani na Uhindi)
- Gigantopithecus blacky (Kati ya Pleistocene ya Uchina)
- Gigantopithecus giganteus (Pliocene ya Uhindi na Uchina)
- Kenyanthropus platyops (Kati ya Pliocene ya Kenya)
- Lufengpithecus chiangmuanensis (Miocene ya Uchina)
- Lufengpithecus keiyuanensis (Miocene ya Uchina)
- Lufengpithecus lufengensis (Miocene ya Uchina)
- Lufengpithecus yuanmouensis (Miocene ya Uchina)
- Nakalipithecus nakayamai (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
- Oreopithecus bambolii (Miocene ya Italia na Afrika ya Mashariki)
- Orrorin tugenensis (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
- Ouranopithecus macedoniensis (Mwisho wa Miocene ya Ugiriki)
- Paranthropus aethiopicus (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi na Kenya)
- Paranthropus boisei (Pliocene na Pleistocene za Kenya na Tanzania)
- Paranthropus robustus (Pleistocene ya Afrika Kusini)
- Sahelanthropus tchadensis (Mwisho wa Miocene ya Chadi)
- Sivapithecus indicus (Kati ya Miocene ya Uhindi)
- Sivapithecus parvada (Kati ya Miocene ya Uhindi)
- Sivapithecus sivalensis (Kati ya Miocene ya Pakistani na Uhindi)
Picha
-
Sokwe Mtu (dume)
-
Bonobo (majike)
-
Ngagi-milima (dume)
-
Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki (dume)
-
Ngagi wa Nijeria
-
Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi (dume mzee)
-
Ngagi wa kike akivuka maji na kutumia fimbo kujishika
-
Orangutanu (wa Sumatra) ni sokwe aliyezoea miti zaidi
-
Orangutanu wa Borneo
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sokwe (Hominidae) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |