Maabara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
[[Jamii:sayansi{{}}]]→Maabara ya biolojia |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
===Maabara ya biolojia=== |
===Maabara ya biolojia=== |
||
Ni jengo au chumba maalumu kwa ajili ya kufanyia majaribio ya kibiolojia yahusuyo [[viumbe hai]]. |
Ni jengo au chumba maalumu kwa ajili ya kufanyia majaribio ya kibiolojia yahusuyo [[viumbe hai]]. |
||
SHERIA ZA MAABARA. |
|||
1.Usiingie ndani ya maabarampaka uruhusiwe. |
|||
2.Usikimbie ndani ya maabara. |
|||
3.Usile kituchochote ndani ya maabara. |
|||
4.Usitumie kifaa kilichoharibika. |
|||
5.Ripoti tatizo lolote litakalojitokeza. |
|||
SIFA ZA MAABARA. |
|||
1.Iwe na madirisha makubwa. |
|||
2.Iwe na milango miwili inayofunguka kwa nje. |
|||
3.Iwe na mfumo mzuri wa umeme. |
|||
4.Iwe na vifaa vya kutosha. |
|||
{{mbegu-sayansi}} |
{{mbegu-sayansi}} |
Pitio la 13:42, 19 Septemba 2015
Maabara ni jengo au chumba maalumu kinachotumika kwa ajili ya majaribio ya kisayansi.
Kuna aina mbalimbali za maabara, mfano: maabara za biolojia, maabara za kemia, maabara za fizikia n.k.
Vilevile kuna maabara zinazotumika katika hospitali na katika majaribio mengine ya kisayansi.
Maabara ya biolojia
Ni jengo au chumba maalumu kwa ajili ya kufanyia majaribio ya kibiolojia yahusuyo viumbe hai. SHERIA ZA MAABARA. 1.Usiingie ndani ya maabarampaka uruhusiwe. 2.Usikimbie ndani ya maabara. 3.Usile kituchochote ndani ya maabara. 4.Usitumie kifaa kilichoharibika. 5.Ripoti tatizo lolote litakalojitokeza.
SIFA ZA MAABARA. 1.Iwe na madirisha makubwa. 2.Iwe na milango miwili inayofunguka kwa nje. 3.Iwe na mfumo mzuri wa umeme. 4.Iwe na vifaa vya kutosha.
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maabara kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |