Atomu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5: Mstari 5:
Kuna aina nyingi za atomi na idadi za aina hizi tofauti ni sawa na [[elementi]] zilizopo [[duniani]].
Kuna aina nyingi za atomi na idadi za aina hizi tofauti ni sawa na [[elementi]] zilizopo [[duniani]].


==Muundo wa atomi==
Lakini atomi yenyewe hufanywa na vyembe vidogo zaidi hasa sehemu 3 ambazo ni: [[protoni]], [[neutroni]] na [[elektroni]]. Sehemu hizi ndogo zaidi hazina tabia ya elementi fulani ila tu atomi yote ni elementi. Atomi zinatofautiana kutokana na idadi tofauti ya vyembe hivi vidogo ndani yao.
Lakini atomi yenyewe hufanywa na vyembe vidogo zaidi hasa sehemu 3 ambazo ni: [[protoni]], [[neutroni]] na [[elektroni]]. Sehemu hizi ndogo zaidi hazina tabia ya elementi fulani ila tu atomi yote ni elementi. Atomi zinatofautiana kutokana na idadi tofauti ya vyembe hivi vidogo ndani yao.


Mstari 13: Mstari 14:
Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako electron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa [[duara ya elektroni]]. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.
Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako electron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa [[duara ya elektroni]]. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.


Kiini huitwa kwa [[lugha]] ya [Kilatini] (pia kwa [[Kiingereza]]) "nucleus" na hapa lugha ya Kiswahili imepokea neno "nyuklia". "Nucleas" kwa ajili ya mambo yanayohusu matumizi ya nguvu ya atomi, kwa mfano [nishati ya nyuklia].
Kiini huitwa kwa [[lugha]] ya [[Kilatini]] (pia kwa [[Kiingereza]]) "nucleus" na hapa lugha ya Kiswahili imepokea neno "nyuklia". "Nucleas" kwa ajili ya mambo yanayohusu matumizi ya nguvu ya atomi, kwa mfano [[nishati ya nyuklia]].


==Chaji na ioni==
==Chaji na ioni==
Mstari 20: Mstari 21:
Kwa jumla chaji hizo husawazishana na atomi yote ni batili yaani haionyeshi chaji maalumu.
Kwa jumla chaji hizo husawazishana na atomi yote ni batili yaani haionyeshi chaji maalumu.


Atomi inaweza kuingia katika hali ya kuwa na chaji kama elektroni moja inaongezwa au kuondolewa katika ganda lake halafu atomi hiyo huitwa "[ioni]".
Atomi inaweza kuingia katika hali ya kuwa na chaji kama elektroni moja inaongezwa au kuondolewa katika ganda lake halafu atomi hiyo huitwa "[[ioni]]".


Kama idadi ya elektroni imepungua chini ya kiwango cha kawaida atomi yote ina chaji chanya na kuitwa "[kationi](CATION)". Kama elektroni imeongezwa chaji ya atomi yote huwa hasi na kuitwa "[[anioni](ANIONS)".
Kama idadi ya elektroni imepungua chini ya kiwango cha kawaida atomi yote ina chaji chanya na kuitwa "[[kationi]]". Kama elektroni imeongezwa chaji ya atomi yote huwa hasi na kuitwa "[[anioni]]".


==Njia za elektroni==
==Njia za elektroni==
Kufuatana na kielezo cha [[Niels Bohr]] kiini huzungukwa na [[mizingo elektroni]] mbalimbali kama kitunguu. Idadi ya mizingo hutegemeana na idadi ya elektroni au ukubwa wa atomi kwa jumla.
Kufuatana na kielezo cha [[Niels Bohr]] kiini huzungukwa na [[mizingo elektroni]] mbalimbali kama kitunguu. Idadi ya mizingo hutegemeana na idadi ya elektroni au ukubwa wa atomi kwa jumla.


Ukubwa wa atomi yote hutegemeana na umbali wa mzingo elektroni wa nje. Ieleweke ya kwamba mizingo hii yote si dutu au mada lakini nafasi ambako elektroni zazunguka kiini kwa mkasi mkubwa.
Ukubwa wa atomi yote hutegemeana na umbali wa mzingo elektroni wa nje. Ieleweke ya kwamba mizingo hii yote si dutu au mada lakini nafasi ambako elektroni zinazunguka kiini kwa mkasi mkubwa.


== Tovuti za nje ==
== Tovuti za nje ==

Pitio la 13:38, 19 Septemba 2015

Mfumo wa atomi kwa mfano wa atomi ya Heli: Elektroni mbili (njano) kwenye mzingo wa atomi huzunguka kiini cha atomi chenye Protoni mbili (nyekundu) na Neutroni mbili (kijani).

Atomi (kwa Kiswahili huitwa pia 'atomu'; kutoka Kigiriki átomos yaani "isiyogawika") ni sehemu ndogo ya maada yenye tabia ya kikemia kama elementi. Kila kitu duniani hujengwa kwa atomi.

Kuna aina nyingi za atomi na idadi za aina hizi tofauti ni sawa na elementi zilizopo duniani.

Muundo wa atomi

Lakini atomi yenyewe hufanywa na vyembe vidogo zaidi hasa sehemu 3 ambazo ni: protoni, neutroni na elektroni. Sehemu hizi ndogo zaidi hazina tabia ya elementi fulani ila tu atomi yote ni elementi. Atomi zinatofautiana kutokana na idadi tofauti ya vyembe hivi vidogo ndani yao.

Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani kwa macho wala kwa hadubini za kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu waliunda vielelezo mbalimbali vinavyojaribu kuunganisha tabia mbalimbali za atomi zinazopimiwa.

Kielelezo cha Ernest Rutherford kinasema kwamba katikati ya atomi kuna kiini chenye sehemu kubwa ya maada ya atomi yote. Kiini cha atomi hufanywa na protoni na neutroni. Atomi za elementi ileile zinaweza kutofautiana katika idadi ya neutron ndani ya kiini na hali hizi tofauti huitwa Isotopy za elementi. Isotopy tofauti ya elementi moja zinapangwa kwenye nafasi ileile ya jedwali la elementi. Isotopy kadhaa si thabiti lakini [nururifu] yaani zinaweza kutoa vyembe au nururisho na kuhamia elementi nyingine.

Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako electron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa duara ya elektroni. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.

Kiini huitwa kwa lugha ya Kilatini (pia kwa Kiingereza) "nucleus" na hapa lugha ya Kiswahili imepokea neno "nyuklia". "Nucleas" kwa ajili ya mambo yanayohusu matumizi ya nguvu ya atomi, kwa mfano nishati ya nyuklia.

Chaji na ioni

Protoni zina chaji ya chanya, neutroni hazina chaji na elektroni zina chaji ya hasi. Kiini inafanywa na protoni zenye chaji chanya pamoja na neutroni zisizo na chaji hivyo kiini cha kila atomi kina chaji chanya. Elektroni zenye chaji hasi zinazunguka kiini.

Kwa jumla chaji hizo husawazishana na atomi yote ni batili yaani haionyeshi chaji maalumu.

Atomi inaweza kuingia katika hali ya kuwa na chaji kama elektroni moja inaongezwa au kuondolewa katika ganda lake halafu atomi hiyo huitwa "ioni".

Kama idadi ya elektroni imepungua chini ya kiwango cha kawaida atomi yote ina chaji chanya na kuitwa "kationi". Kama elektroni imeongezwa chaji ya atomi yote huwa hasi na kuitwa "anioni".

Njia za elektroni

Kufuatana na kielezo cha Niels Bohr kiini huzungukwa na mizingo elektroni mbalimbali kama kitunguu. Idadi ya mizingo hutegemeana na idadi ya elektroni au ukubwa wa atomi kwa jumla.

Ukubwa wa atomi yote hutegemeana na umbali wa mzingo elektroni wa nje. Ieleweke ya kwamba mizingo hii yote si dutu au mada lakini nafasi ambako elektroni zinazunguka kiini kwa mkasi mkubwa.

Tovuti za nje

Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Atomu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Atomu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.