Majengo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Majengo''' ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya [[Afrika ya Mashariki]].
'''Majengo''' ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya [[Afrika ya Mashariki]].


Mifano ni
Mifano ni wilaya zifuatazo
*[[Majengo (Kahama)|Kahama]]
*[[Majengo (Kigoma)|Kigoma]],
*[[Majengo (Kigoma)|Kigoma]],
*[[Mombasa]]
*[[Mombasa]]

Pitio la 10:52, 19 Septemba 2015

Majengo ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya Afrika ya Mashariki.

Mifano ni wilaya zifuatazo

ambako "Majengo" imekuwa hata jina la kata.

Kihistoria ilikuwa jina la makazi kwa wafanyakazi Waafrika katika miji ya kikoloni ambako sehemu ya "Uzunguni" ilitengwa kwa Waingereza na Wazungu wengine na Wahindi walipewa nafasi ya maduka katika sehemu zilizoitwa mara nyingi "Uhindini".

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.