Jibuti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 63: Mstari 63:


==Historia==
==Historia==
Nchi ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] kwa jina la [[Somalia ya Kifaransa]].
Nchi ilikuwa [[koloni]] la [[Ufaransa]] kwa jina la [[Somalia ya Kifaransa]], halafu ([[1967]]) [[Eneo la Kifaransa la Waafar na la Waisa]], kutokana na majina ya ma[[kabila]] mawili makubwa zaidi ya eneo hilo.


Sababu ya kuanzishwa kwa koloni ilikuwa nia ya [[Ufaransa]] ya kuwa na [[bandari]] ya [[Jibuti (mji)|mji wa Jibuti]] karibu na [[Bab el Mandeb]] inayotawala [[mawasiliano]] kati ya [[Bahari Hindi]] na Bahari ya Shamu kuelekea [[Mfereji wa Suez]].
Sababu ya kuanzishwa kwa koloni ilikuwa nia ya [[Ufaransa]] ya kuwa na [[bandari]] ya [[Jibuti (mji)|mji wa Jibuti]] karibu na [[Bab el Mandeb]] inayotawala [[mawasiliano]] kati ya [[Bahari Hindi]] na Bahari ya Shamu kuelekea [[Mfereji wa Suez]].

==Watu==
Siku hizi wakazi wengi (60%) ni [[Wasomali]], hasa wa kabila la [[Waisa]], halafu [[Waafar]] (35%). [[Asilimia]] 5 zilizobaki ni [[Waarabu]], [[Waethiopia]] na [[Wazungu]] (hasa Wafaransa na [[Waitalia]]).

[[Lugha rasmi]] ni [[Kifaransa]] na [[Kiarabu]]. [[Kisomali]] ni [[Kiafar]] ni [[lugha ya taifa|lugha za taifa]].

Upande wa [[dini]], [[Uislamu]] unafuatwa na 94% za wakazi na ndio [[dini rasmi]] pekee. Asilimia 6 wanafuata [[Ukristo]] katika [[madhehebu]] mbalimbali, hasa [[Waorthodoksi wa Mashariki]] kutoka [[Ethiopia]] (3.2%), halafu [[Wakatoliki]] (1%) na [[Waprotestanti]] (chini ya 1%).


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==

Pitio la 07:18, 6 Septemba 2015

Ramani ya Jibuti
Jibuti


Jibuti (kwa Kifaransa Djibouti, kwa Kiarabu: جيبوتي) ni nchi ndogo ya Afrika ya Mashariki kwenye Pembe la Afrika.

Imepakana na Eritrea, Ethiopia na Somalia upande wa bara. Kuna pwani ya Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden. Ng'ambo ya bahari iko nchi ya Yemen katika umbali wa km 20 pekee.

Historia

Nchi ilikuwa koloni la Ufaransa kwa jina la Somalia ya Kifaransa, halafu (1967) Eneo la Kifaransa la Waafar na la Waisa, kutokana na majina ya makabila mawili makubwa zaidi ya eneo hilo.

Sababu ya kuanzishwa kwa koloni ilikuwa nia ya Ufaransa ya kuwa na bandari ya mji wa Jibuti karibu na Bab el Mandeb inayotawala mawasiliano kati ya Bahari Hindi na Bahari ya Shamu kuelekea Mfereji wa Suez.

Watu

Siku hizi wakazi wengi (60%) ni Wasomali, hasa wa kabila la Waisa, halafu Waafar (35%). Asilimia 5 zilizobaki ni Waarabu, Waethiopia na Wazungu (hasa Wafaransa na Waitalia).

Lugha rasmi ni Kifaransa na Kiarabu. Kisomali ni Kiafar ni lugha za taifa.

Upande wa dini, Uislamu unafuatwa na 94% za wakazi na ndio dini rasmi pekee. Asilimia 6 wanafuata Ukristo katika madhehebu mbalimbali, hasa Waorthodoksi wa Mashariki kutoka Ethiopia (3.2%), halafu Wakatoliki (1%) na Waprotestanti (chini ya 1%).

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jibuti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.