Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Map-Hispano.png|600px|]]
[[Picha:Map-Hispano.png|600px|thumb|right|Kihispania duniani leo.]]
'''Kihispania''' ('''"Español"''') ni [[lugha ya kimataifa]] ambayo ni [[lugha ya kwanza]] kwa watu [[milioni]] 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama [[lugha ya pili]] kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.
'''Kihispania''' ('''"Español"''') ni [[lugha ya kimataifa]] ambayo ni [[lugha ya kwanza]] kwa watu [[milioni]] 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama [[lugha ya pili]] kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.


== Historia ya lugha ==
== Historia ya lugha ==
Asili ya [[lugha]] hiyo ni katika nchi ya [[Hispania]] ([[Ulaya]]), lakini kutokana na [[historia]] ya [[ukoloni]] na ya [[biashara]] lugha imesambaa sana, hasa [[Amerika ya Kusini]].
Asili ya [[lugha]] hiyo ni katika nchi ya [[Hispania]] ([[Ulaya]] kusini magharibi), lakini kutokana na [[historia]] ya [[ukoloni]] na ya [[biashara]] lugha imesambaa sana, hasa [[Amerika ya Kusini]].


Lugha iliyozaa Kihispania ni [[Kilatini]] cha [[Waroma wa Kale]] waliotawala kwa muda mrefu Hispania.
Lugha iliyozaa Kihispania ni [[Kilatini]] cha [[Waroma wa Kale]] waliotawala kwa muda mrefu Hispania.
Mstari 13: Mstari 13:
* [[Costa Rica]]
* [[Costa Rica]]
* [[Cuba]]
* [[Cuba]]
* [[El Salvador]]
* [[Jamhuri ya Dominika]]
* [[Jamhuri ya Dominika]]
* [[Guatemala]]
* [[Guatemala]]
Mstari 20: Mstari 21:
* [[Panama]]
* [[Panama]]
* [[Puerto Rico]]
* [[Puerto Rico]]
* and [[El Salvador]]


=== [[Amerika ya Kusini]] ===
=== [[Amerika ya Kusini]] ===

Pitio la 05:24, 23 Agosti 2015

Kihispania duniani leo.

Kihispania ("Español") ni lugha ya kimataifa ambayo ni lugha ya kwanza kwa watu milioni 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama lugha ya pili kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.

Historia ya lugha

Asili ya lugha hiyo ni katika nchi ya Hispania (Ulaya kusini magharibi), lakini kutokana na historia ya ukoloni na ya biashara lugha imesambaa sana, hasa Amerika ya Kusini.

Lugha iliyozaa Kihispania ni Kilatini cha Waroma wa Kale waliotawala kwa muda mrefu Hispania.

Kati ya lugha za Kirumi Kihispania ni lugha ya kisasa ambayo ni karibu zaidi na lugha ya kale, isipokuwa Kiitalia.

Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi

Amerika ya Kati na Karibi

Amerika ya Kusini

Afrika

Nchi zenye wasemaji wengi wa Kihispania

  • Nchini Marekani Kihispania ni lugha ya pili baada ya Kiingereza hasa katika majimbo ya Kusini zilizokuwa zamani sehemu za Mexiko.
  • Ufilipino kwa sababu ilikuwa koloni la Hispania

Viungo vya nje