Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Kihispania''' ('''"Español"''') ni lugha ya kimatifa |
'''Kihispania''' ('''"Español"''') ni [[lugha ya kimatifa]] ambayo ni [[lugha ya kwanza]] kwa watu [[milioni]] 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama [[lugha ya pili]] kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania. |
||
Asili ya lugha ni katika nchi ya [[Hispania]] (Ulaya) lakini kutokana na historia ya [[ukoloni]] na biashara lugha imesambaa sana hasa Amerika ya Kusini. |
Asili ya [[lugha]] hiyo ni katika nchi ya [[Hispania]] ([[Ulaya]]), lakini kutokana na [[historia]] ya [[ukoloni]] na ya [[biashara]] lugha imesambaa sana, hasa [[Amerika ya Kusini]]. |
||
== Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi == |
== Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi == |
||
Mstari 32: | Mstari 32: | ||
* [[Visiwa vya Kanari]] |
* [[Visiwa vya Kanari]] |
||
== Nchi |
== Nchi zenye wasemaji wengi wa Kihispania == |
||
* Nchini [[Marekani]] Kihispania ni lugha ya pili baada ya [[Kiingereza]] hasa katika majimbo ya Kusini |
* Nchini [[Marekani]] Kihispania ni lugha ya pili baada ya [[Kiingereza]] hasa katika majimbo ya Kusini zilizokuwa zamani sehemu za Mexiko. |
||
* [[Ufilipino]] kwa sababu ilikuwa koloni |
* [[Ufilipino]] kwa sababu ilikuwa koloni la Hispania |
||
== Historia ya lugha == |
== Historia ya lugha == |
||
Asili ya Kihispania ni lugha ya Kilatini ya [[Waroma wa Kale]]. Kati ya [[lugha za Kirumi]] |
Asili ya Kihispania ni lugha ya [[Kilatini]] ya [[Waroma wa Kale]]. Kati ya [[lugha za Kirumi]] Kihispania ni lugha ya kisasa ambayo ni karibu zaidi na lugha ya kale, isipokuwa [[Kiitalia]]. |
||
[[Picha:Map-Hispano.png|600px|]] |
[[Picha:Map-Hispano.png|600px|]] |
||
Mstari 49: | Mstari 49: | ||
[[Jamii:Lugha za Kirumi]] |
[[Jamii:Lugha za Kirumi]] |
||
[[Jamii:Hispania]] |
Pitio la 04:55, 23 Agosti 2015
Kihispania ("Español") ni lugha ya kimatifa ambayo ni lugha ya kwanza kwa watu milioni 500; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama lugha ya pili kuna milioni 600 duniani wanaosema Kihispania.
Asili ya lugha hiyo ni katika nchi ya Hispania (Ulaya), lakini kutokana na historia ya ukoloni na ya biashara lugha imesambaa sana, hasa Amerika ya Kusini.
Nchi zinazotumia Kihispania kama lugha rasmi
Amerika ya Kati na Karibi
- Costa Rica
- Cuba
- Jamhuri ya Dominika
- Guatemala
- Honduras
- Mexico
- Nicaragua
- Panama
- Puerto Rico
- and El Salvador
Amerika ya Kusini
Afrika
Nchi zenye wasemaji wengi wa Kihispania
- Nchini Marekani Kihispania ni lugha ya pili baada ya Kiingereza hasa katika majimbo ya Kusini zilizokuwa zamani sehemu za Mexiko.
- Ufilipino kwa sababu ilikuwa koloni la Hispania
Historia ya lugha
Asili ya Kihispania ni lugha ya Kilatini ya Waroma wa Kale. Kati ya lugha za Kirumi Kihispania ni lugha ya kisasa ambayo ni karibu zaidi na lugha ya kale, isipokuwa Kiitalia.