Samia Suluhu Hassan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Infobox officeholder |name = Samia Suluhu |image = Samia Suluhu Hassan.jpg |order = |office = Waziri wa M...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 18:44, 12 Agosti 2015
Samia Suluhu | |
Waziri wa Muungano
| |
Aliingia ofisini 28 November 2010 | |
Makamu wa Rais | Mohamed Gharib Bilal |
---|---|
tarehe ya kuzaliwa | 27 Januari 1960 Zanzibar |
utaifa | Mtanzania |
chama | Chama Cha Mapinduzi |
mhitimu wa | Chuo Kikuu cha Mzumbe (AdvDip) University of Manchester |
Samia Hassan Suluhu (27 January 1960) ni mwanasiasi wa Tanzania na mwanachama wa cha tawala cha Chama Cha Mapinduzi.[1]
Suluhu ni mgombea mwenza wa John Magufuli katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.[2]
References
- ↑ Member of Parliament CV. Bunge la Tazania. Iliwekwa mnamo 19 February 2013.
- ↑ Mgombea mwenza Urais 2015 wa Mhe. John Pombe Magufuli ni..
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |