James Msekela : Tofauti kati ya masahihisho
d +def using AWB |
d Alifazal alihamisha ukurasa wa James Alex Msekela hadi James Msekela |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 00:55, 12 Agosti 2015
James Alex Msekela (amezaliwa 3 Septemba, 1959) ni mbunge wa jimbo la Tabora Kaskazini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia
Marejeo
- ↑ Mengi kuhusu James Alex Msekela (25 Aprili 2006). Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |