Mwanza (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 35 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q110218 (translate me)
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Infobox Settlement
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Jiji la Mwanza
|jina_rasmi = Jiji la Mwanza
|picha_ya_satelite = Mwanza.JPG
|picha_ya_satelite = File:Mwanza from Capri Point, Tanzania.jpg
|maelezo_ya_picha = Kitovu cha mji wa Mwanza katika 2005
|maelezo_ya_picha = Kitovu cha mji wa Mwanza katika 2005
|pushpin_map = Tanzania
|pushpin_map = Tanzania

Pitio la 04:41, 6 Agosti 2015


Jiji la Mwanza
Jiji la Mwanza is located in Tanzania
Jiji la Mwanza
Jiji la Mwanza

Mahali pa mji wa Mwanza katika Tanzania

Majiranukta: 2°31′S 32°54′E / 2.517°S 32.900°E / -2.517; 32.900
Nchi Tanzania
Mkoa Mwanza
Wilaya Ilemela
Nyamagana
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 378 827
Wilaya za Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).

Historia

Mwanza ilianzishwa na Wajerumani wakati wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Mahali paliteuliwa kutokana na nafasi ya bandari asilia upande wa kusini ya Ziwa Viktoria. Wajerumani waliuita mji kwa jina "Muansa" inaaminiwa ilikuwa matamshi yao ya neno "nyanza". Walijenga boma kubwa iliyoendelea kitovu cha mji. Takwimu ya Kijerumani ya 1912 ilihesabu wazungu 85, Wagoa 15, Wahindi wengine 300 na Waarabu 70 lakini haikutaja wakazi Waafrika. Palikuwa na makampuni ya biashara 12 ya kizungu na 50 ya Wahindi.[1].

Marejeo

  1. Koloniallexikon makala "Muansa"
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mwanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mwanza (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.
Kata za Jiji la Mwanza - Mkoa wa Mwanza - Tanzania

Wilaya ya Ilemela: BugogwaBuhongwaBusweluButimba (Ilemela)IgomaIlemelaMkolaniNyakatoPasiansiSangabuye
Wilaya ya Nyamagana: IgogoIsamiloKirumbaKitangiriMbuganiMirongoMkuyuniNyamaganaNyamanoroPamba