Msichana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Girl--05.jpg|thumb|350px|right|Msichana]]
[[Picha:Bozo girl.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Afrika|Mwafrika]] wa [[Mali]].]]
[[Picha:Girl--05.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Mzungu]].]]
{{commonscat|Girls}}
'''Msichana''' ni [[mwanamke]] ambaye hajafikia [[ukomavu]] wa [[utu uzima]], ni [[kijana]] wa [[jinsia]] ya kike, ijapokuwa si tena [[mtoto]] tu wa [[binadamu]].
{{wiktionary}}

'''Msichana''' ni [[mtoto]] wa [[kike]]. Ni binadamu mwanamke ambaye haja komaa, japokuwa vijana wa kike pia huweza kuitwa wasichana. Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja wanawake waliokuwa kama wasichana, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani.
Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao [[usiku]] katika [[starehe]] fulani.

Wasichana wadogo bado wana [[miili]] ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia [[umri]] wa [[balehe]] (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya [[wanawake]] kamili.

Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na ma[[ziwa]], maumbo yao sehemu za [[kiuno]]ni na ma[[bega]]ni zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na [[hedhi]].


Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi atakapofikia umri wa balehe (huenda wakifika umri wa miaka 11 hadi 13) ambapo miili yao inaanza kukomaa na [[mwanamke]] kamili. Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yao sehemu za kiunoni na mabegani zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na [[hedhi]].
== Tazama pia ==
== Tazama pia ==
* [[Mwanamke]]
* [[Mwanamke]]
* [[Mvulana]]
* [[Mvulana]]


== Marejeo mengine ==
== Viungo vya nje ==
{{commonscat|Girls}}
{{wiktionary}}
* http://www.girlsnames.co.uk/
* http://www.girlsnames.co.uk/
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php

{{mbegu}}
{{mbegu}}


[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Jinsia]]

Pitio la 11:34, 3 Juni 2015

Msichana Mwafrika wa Mali.
Faili:Girl--05.jpg
Msichana Mzungu.

Msichana ni mwanamke ambaye hajafikia ukomavu wa utu uzima, ni kijana wa jinsia ya kike, ijapokuwa si tena mtoto tu wa binadamu.

Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani.

Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia umri wa balehe (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya wanawake kamili.

Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yao sehemu za kiunoni na mabegani zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na hedhi.

Tazama pia

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: