Msichana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha: |
[[Picha:Bozo girl.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Afrika|Mwafrika]] wa [[Mali]].]] |
||
[[Picha:Girl--05.jpg|thumb|350px|right|Msichana [[Mzungu]].]] |
|||
⚫ | |||
'''Msichana''' ni [[mwanamke]] ambaye hajafikia [[ukomavu]] wa [[utu uzima]], ni [[kijana]] wa [[jinsia]] ya kike, ijapokuwa si tena [[mtoto]] tu wa [[binadamu]]. |
|||
⚫ | |||
'''Msichana''' ni [[mtoto]] wa [[kike]]. Ni binadamu mwanamke ambaye haja komaa, japokuwa vijana wa kike pia huweza kuitwa wasichana. Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja wanawake waliokuwa kama wasichana, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani. |
|||
Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao [[usiku]] katika [[starehe]] fulani. |
|||
⚫ | |||
Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na ma[[ziwa]], maumbo yao sehemu za [[kiuno]]ni na ma[[bega]]ni zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na [[hedhi]]. |
|||
⚫ | Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi |
||
== Tazama pia == |
== Tazama pia == |
||
* [[Mwanamke]] |
* [[Mwanamke]] |
||
* [[Mvulana]] |
* [[Mvulana]] |
||
== |
== Viungo vya nje == |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
* http://www.girlsnames.co.uk/ |
* http://www.girlsnames.co.uk/ |
||
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php |
* http://www.names4muslims.com/baby-girls.php |
||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
||
[[Jamii:Binadamu]] |
[[Jamii:Binadamu]] |
||
[[Jamii:Jinsia]] |
Pitio la 11:34, 3 Juni 2015
Msichana ni mwanamke ambaye hajafikia ukomavu wa utu uzima, ni kijana wa jinsia ya kike, ijapokuwa si tena mtoto tu wa binadamu.
Wakati mwingine watu wakubwa bado hutaja kama 'wasichana' wanawake waliokua, hasa katika hali ya kutoka nao usiku katika starehe fulani.
Wasichana wadogo bado wana miili ya kitoto. Haikomai hadi watakapofikia umri wa balehe (huenda wakafikia umri wa miaka 11-13 n.k.) ambapo miili yao inaanza kukomaa na kuwafanya wanawake kamili.
Wakati wa kubalehe, msichana anaanza kuwa na maziwa, maumbo yao sehemu za kiunoni na mabegani zinakuwa kubwa na wanaanza kuwa na hedhi.
Tazama pia
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |