Dola-mji : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 54 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q133442 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Dola-mji''' ni [[dola]] ambalo eneo lake ni [[mji]] mmoja pekee. |
'''Dola-mji''' ni [[dola]] ambalo eneo lake ni [[mji]] mmoja pekee. |
||
Katika historia kuna mifano mingi ya dola-miji. |
Katika historia kuna mifano mingi ya dola-miji. Mwaka 2015 kulikuwa na miji mitatu duniani ambayo ni dola-miji ya kujitegemea kabisa. Pamoja nayo kuna pia madola au majimbo ndani ya nchi za shirikisho yanayoweza kuitwa "dola-mji". |
||
== Dola-mji wa kujitegemea kabisa == |
== Dola-mji wa kujitegemea kabisa == |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
* [[Ceuta]] na [[Melilla]] ambayo ni miji ya kujitawala (ciudades autónomas) ya [[Hispania]] |
* [[Ceuta]] na [[Melilla]] ambayo ni miji ya kujitawala (ciudades autónomas) ya [[Hispania]] |
||
[[ |
[[China]] si shirikisho lakini miji ya [[Hongkong]] na [[Makau]] ina madaraka makubwa ya kujitawala nje ya sheria za China bara. |
||
== Dola-miji katika historia == |
== Dola-miji katika historia == |
||
Mstari 28: | Mstari 28: | ||
=== Dola-miji katika karne ya 20 === |
=== Dola-miji katika karne ya 20 === |
||
Karne ya 20 ilikuwa na dola-miiji kadhaa hasa kati ya [[vita kuu ya |
Karne ya 20 ilikuwa na dola-miiji kadhaa hasa kati ya [[vita kuu ya kwanza ya dunia|vita kuu ya kwanza]] na ya [[vita kuu ya pili ya dunia|pili]]. |
||
* Fiume (Rijeka) katika [[Kroatia]] ya leo |
* Fiume (Rijeka) katika [[Kroatia]] ya leo |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
* [[Dola la Ujerumani]] lilikuwa na dola-miji mingi hadi karne ya 19. Iliyobaki hadi leo na hali ya pekee ndani ya shirikisho la jamhuri ni [[Hamburg]] na [[Bremen]]. Mji wa [[Berlin]] ambao leo ni jimbo la kujitegema haukuwa dola-mji katika historia. |
* [[Dola la Ujerumani]] lilikuwa na dola-miji mingi hadi karne ya 19. Iliyobaki hadi leo na hali ya pekee ndani ya shirikisho la jamhuri ni [[Hamburg]] na [[Bremen]]. Mji wa [[Berlin]] ambao leo ni jimbo la kujitegema haukuwa dola-mji katika historia. |
||
*[[Hanse]] ilikuwa shirikisho la miji ya biashara katika Ulaya ya Kaskazini na miji hii kwa jumla ilijitawala. |
|||
== Viungo vie nje == |
== Viungo vie nje == |
Pitio la 04:55, 26 Mei 2015
Dola-mji ni dola ambalo eneo lake ni mji mmoja pekee.
Katika historia kuna mifano mingi ya dola-miji. Mwaka 2015 kulikuwa na miji mitatu duniani ambayo ni dola-miji ya kujitegemea kabisa. Pamoja nayo kuna pia madola au majimbo ndani ya nchi za shirikisho yanayoweza kuitwa "dola-mji".
Dola-mji wa kujitegemea kabisa
Dola-mji wa kujitegemea kabisa ni:
Wakati mwingi Kuwait huitwa pia "Dola-mji" kwa sababu karibu wakazi wote wa dola huishi katika mazingira ya Kuwait mjini. Lakini kuna miji midogo mingine nchini.
Dola mji kama jimbo la kujitawala ndani ya shirikisho
Dola mji kama jimbo la kujitawala ndani ya shirikisho ni kama mfano:
- Hamburg, Berlin na Bremen katika Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani
- Vienna katika Shirikisho la Jamhuri ya Austria
- Moscow na Sankt Petersburg ndani ya shirikisho la Urusi,
- Addis Ababa na Dire Dawa ambayo ni miji ya kujitawala (astedader akababiwach) katika Shirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia
- Ceuta na Melilla ambayo ni miji ya kujitawala (ciudades autónomas) ya Hispania
China si shirikisho lakini miji ya Hongkong na Makau ina madaraka makubwa ya kujitawala nje ya sheria za China bara.
Dola-miji katika historia
Dola miji ilikuwa muhimu sana katika nchi nyingi kihistoria. Hasa wakati katika nchi fulani hakuna serikali ya juu miji ilijitawala kabisa na kushindana na miji mingine na falme.
Dola-miji katika karne ya 20
Karne ya 20 ilikuwa na dola-miiji kadhaa hasa kati ya vita kuu ya kwanza na ya pili.
- Fiume (Rijeka) katika Kroatia ya leo
- Trieste katika Italia ya leo
- Danzig (Gdansk) katika Poland ya leo
- Memel (Klaipeda) katika Lithuania ya leo
Dola-miji ya zamani
- Miji ya Waswahili kwenye pwani la Afrika ya Mashariki ilikuwa dola-miji ya kujitegemea kama vile Mombasa, Malindi, Lamu, Pate na Kilwa. Wakati mwingine utawala wao ulienea zaidi, lakini kimsingi ilikuwa kila mji unaotawala eneo lake.
- Ugiriki ya Kale ilikuwa na dola-miji mingi. Athens, Sparta, Korintho zilikuwa kwa muda mrefu miji tu pamoja na vijiji vichache. Zilijaribu kupanuka hasa Athens ilifaulu.
- Katika Italia ya nyakati za kati miji muhimu ilijitawala kabisa. Kati ya dola-miji iliyoweza kupanua eneo lao ni hasa Genova na Venesia.
- Dola la Ujerumani lilikuwa na dola-miji mingi hadi karne ya 19. Iliyobaki hadi leo na hali ya pekee ndani ya shirikisho la jamhuri ni Hamburg na Bremen. Mji wa Berlin ambao leo ni jimbo la kujitegema haukuwa dola-mji katika historia.
- Hanse ilikuwa shirikisho la miji ya biashara katika Ulaya ya Kaskazini na miji hii kwa jumla ilijitawala.