Burundi : Tofauti kati ya masahihisho
kiungo |
No edit summary |
||
Mstari 56: | Mstari 56: | ||
[[Picha:Bujumbura 29.36607E 3.37443S.jpg|thumb|NASA photo of Burundi]] |
[[Picha:Bujumbura 29.36607E 3.37443S.jpg|thumb|NASA photo of Burundi]] |
||
'''Jamhuri ya Burundi''' (iliyojulikana zamani kama '''Urundi''') ni nchi ndogo ambayo iko |
'''Jamhuri ya Burundi''' (iliyojulikana zamani kama '''Urundi''') ni nchi ndogo ambayo iko katika [[Nchi za Maziwa Makuu|eneo la Maziwa Makubwa]] ya [[Afrika]]. Burundi imepakana na [[Rwanda]] upande wa [[kaskazini]], [[Tanzania]] upande wa [[mashariki]], na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]] upande wa [[magharibi]]. |
||
Jina lenyewe la nchi hii, limetokana kwa msingi na kutanuka kwa [[lugha]] ya [[Kirundi]] ambacho ni [[lugha ya Kibantu]]. |
|||
== Jiografia == |
== Jiografia == |
||
Burundi ni kati ya nchi ndogo zaidi zilizomo barani [[Afrika]]. Wakazi milioni 10 ni wengi kulingana na eneo dogo la nchi, msongamano wa watu ni wakazi 379 kwenye kila [[km²|kilomita ya mraba]]. |
Burundi ni kati ya nchi ndogo zaidi zilizomo barani [[Afrika]]. Wakazi [[milioni]] 10 ni wengi kulingana na eneo dogo la nchi, [[msongamano]] wa watu ni wakazi 379 kwenye kila [[km²|kilomita ya mraba]]. |
||
Ingawa Burundi haina [[bahari]], sehemu ya [[mpaka]] wake eneo la mashariki unaishia kwenye [[mwambao]] wa [[Ziwa Tanganyika]]. |
|||
Eneo lote ni [[nyanda za juu]] zenye [[kimo]] cha [[mita]] 1700 [[juu ya UB]] kwa [[wastani]]. Sehemu ya juu zaidi ni [[kilele]] cha [[mlima Heha]] chenye mita 2685 juu ya uwiano wa bahari uliopo katika [[safu]] ya milima inayopakana na [[bonde la ufa la Afrika ya Mashariki]]. |
|||
Sehemu ya magharibi ya nchi ni sehemu ya [[bonde la ufa]] yenye kimo cha mita 760-850 juu ya uwiano wa bahari. Sehemu ya kusini ya bonde la ufa katika Burundi imejaa [[maji]] ya [[Ziwa Tanganyika]]. |
|||
Upande wa mashariki wa safu ya milima inayopakana na bonde la ufa kuna [[chanzo]] cha [[mto Ruvyironza]] (pia: Luvironza) unaoishia katika [[mto Kagera]] na hivyo huhesabiwa kati ya vyanzo vya mto [[Naili]].<ref>[Klohn, Wulf and Mihailo Andjelic. <nowiki>[http://www.fao.org/ag/AGL/AGLW/webpub/lakevic/LAKEVIC4.htm Lake Victoria: A Case in International Cooperation]</nowiki>. Food and Agriculture Organization of the United Nations. Retrieved on July 20, 2008]</ref> |
|||
Hali ya hewa ni ya |
[[Hali ya hewa]] ni ya ki[[tropiki]]: kuna vipindi viwili vya [[mvua]]. [[Joto]] linapungua kutokana na kimo cha nchi. Kuna mvua kwa wastani wa [[milimita]] 1,000 kwa [[mwaka]]. |
||
Matumizi ya ardhi ni kwa ajili ya kilimo au mifugo. Msongamano wa watu umesababisha kuenea kwa [[ukataji wa misitu]], [[mmomonyoko wa ardhi]] na kupotea kwa ardhi yenye |
Matumizi ya [[ardhi]] ni kwa ajili ya [[kilimo]] au [[mifugo]]. Msongamano wa watu umesababisha kuenea kwa [[ukataji wa misitu]], [[mmomonyoko wa ardhi]] na kupotea kwa ardhi yenye [[rutuba]]<ref><nowiki>[Bermingham, Eldredge, Dick, Christopher W. and Moritz, Craig (2005). ''Tropical Rainforests: Past, Present, and Future''. Chicago, Illinois: [[University of Chicago]] Press, p. 146. ISBN 0-226-04468-8]</nowiki></ref>. Eneo la [[misitu]] lililobaki ni kilomita cha mraba 600 pekee linalopungua kwa kasi ya [[asilimia]] 9 kwa mwaka<ref><nowiki>[http://www.mongabay.com/deforestation.htm Worldwide Deforestation Rates]</nowiki> Food and Agriculture Organization of the U.N.: The State of the World's Forests 2003. Published on Mongabay.com. Retrieved on June 29, 2008.</ref>. |
||
Kuna hifadhi mbili za taifa ambazo ni [[Hifadhi ya Taifa ya Kibira]] kwenye kaskazini-magharibi (inapakana na [[Msitu wa Nyungwe]] huko Rwanda), na [[Hifadhi ya Taifa ya Ruvubu]] upande wa kaskazni-mashariki karibu na [[mto Rurubu]] (pia Ruvubu au Ruvuvu). Hifadhi zote mbili zilianzishwa mwaka [[1982]] kwa [[shabaha]] ya kuhifadhi [[wanyamapori]]<ref><nowiki>East, Rob (1999). ''African Antelope Database 1998''. [[Gland, Switzerland]]: [[International Union for Conservation of Nature]], p. 74. ISBN 2-8317-0477-4.</nowiki></ref>. |
|||
⚫ | |||
⚫ | Mara kadhaa nchi hii imekuwa na misukosuko na machafuko ya |
||
⚫ | |||
Kwa orodha ya Marais wa nchi tangu uhuru, angalia [[Orodha ya Marais wa Burundi|hapa]]. |
|||
⚫ | Mara kadhaa nchi hii imekuwa na misukosuko na machafuko ya ki[[siasa]] na ya ki[[jamii]]. Shida kubwa ni kuwa Burundi haina [[maliasili]] ya kutosheleza [[umma]] na kutosheleza ratili ya kisiasa kwa walio wengi [[Wahutu]] na walio wachache [[Watutsi]] na [[Watwa]]. Pia kuna [[kabila]] la [[Warundi]] wanaojinasibu kuwa wao sio Watutsi wala Wahutu bali ni [[Waswahili]]. Hilo kabila la Waswahili lilikuwepo toka enzi za tawala za kifalme nchini humo, na ndio wenyeji wa [[jiji]] la [[Bujumbura]], waliomsaidia [[Mwanamfalme]] [[Louis Rwagasore]] katika [[harakati]] za kutafuta [[uhuru]] wa Burundi. |
||
== Utawala == |
== Utawala == |
||
Burundi imegawiwa |
Burundi imegawiwa katika [[mikoa]] 18 (kwa [[Kifaransa]] province, kwa [[Kirundi]]: IProvense) inayoitwa kufuatana na miji yenye [[makao makuu]] ya [[utawala]]. |
||
<nowiki>*</nowiki>Angalia [[Mikoa ya Burundi]] |
<nowiki>*</nowiki>Angalia [[Mikoa ya Burundi]] |
||
Mikoa imegawiwa kwa wilaya inayoitwa "communes" na hii |
Mikoa imegawiwa kwa wilaya inayoitwa "communes" na hii imegawiwa kwa "collines" (vilima). |
||
== Watu na Utamaduni == |
== Watu na Utamaduni == |
||
Mstari 97: | Mstari 105: | ||
== Ongezea masomo kwa wingi == |
== Ongezea masomo kwa wingi == |
||
* ''Burundi: Ethnic Conflict and Genocide'' Reni Lemarchand and Lee H. Hamilton |
* ''Burundi: Ethnic Conflict and Genocide'' Reni Lemarchand and Lee H. Hamilton |
||
== Mishikanizi == |
|||
{{tafsiri}} |
|||
== Tazama pia == |
== Tazama pia == |
||
* [[Orodha ya miji ya Burundi]] |
* [[Orodha ya miji ya Burundi]] |
||
* [[Orodha ya mikoa ya Burundi]] |
* [[Orodha ya mikoa ya Burundi]] |
||
* [[Orodha ya Marais wa Burundi]]. |
|||
==Tanbihi== |
|||
{{marejeo}} |
|||
== Viungo vya nje == |
== Viungo vya nje == |
||
⚫ | |||
=== Serikali === |
=== Serikali === |
||
* {{fr}} [http://www.burundi.gov.bi/ Tovuti ya serikali ya Burundi] |
* {{fr}} [http://www.burundi.gov.bi/ Tovuti ya serikali ya Burundi] |
||
Mstari 126: | Mstari 136: | ||
* [http://dir.yahoo.com/Regional/Countries/Burundi/ Yahoo! - ''Burundi''] directory category |
* [http://dir.yahoo.com/Regional/Countries/Burundi/ Yahoo! - ''Burundi''] directory category |
||
=== |
=== Vinginevyo === |
||
* [http://www.ligue-iteka.africa-web.org/index.php3 Burundian Human Rights Organisation "Ligue Iteka"] - with up-to-date news in English and French |
* [http://www.ligue-iteka.africa-web.org/index.php3 Burundian Human Rights Organisation "Ligue Iteka"] - with up-to-date news in English and French |
||
* [http://agathonrwasa.blogspot.com Campaign for the prosecution of FNL leader Agathon Rwasa] |
* [http://agathonrwasa.blogspot.com Campaign for the prosecution of FNL leader Agathon Rwasa] |
||
Mstari 135: | Mstari 145: | ||
* [http://www.alertnet.org/thefacts/countryprofiles/152653.htm Reuters Alertnet - Burundi] humanitarian news |
* [http://www.alertnet.org/thefacts/countryprofiles/152653.htm Reuters Alertnet - Burundi] humanitarian news |
||
* [http://www.irinnews.org/frontpage.asp?SelectRegion=Great_Lakes&SelectCountry=Burundi Updated humanitarian news] from the [[United Nations]] [[Office for the Coordination of Humanitarian Affairs]] |
* [http://www.irinnews.org/frontpage.asp?SelectRegion=Great_Lakes&SelectCountry=Burundi Updated humanitarian news] from the [[United Nations]] [[Office for the Coordination of Humanitarian Affairs]] |
||
⚫ | |||
{{Afrika}} |
{{Afrika}} |
Pitio la 09:42, 9 Mei 2015
Burundi |
---|
Jamhuri ya Burundi (iliyojulikana zamani kama Urundi) ni nchi ndogo ambayo iko katika eneo la Maziwa Makubwa ya Afrika. Burundi imepakana na Rwanda upande wa kaskazini, Tanzania upande wa mashariki, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa magharibi.
Jina lenyewe la nchi hii, limetokana kwa msingi na kutanuka kwa lugha ya Kirundi ambacho ni lugha ya Kibantu.
Jiografia
Burundi ni kati ya nchi ndogo zaidi zilizomo barani Afrika. Wakazi milioni 10 ni wengi kulingana na eneo dogo la nchi, msongamano wa watu ni wakazi 379 kwenye kila kilomita ya mraba.
Ingawa Burundi haina bahari, sehemu ya mpaka wake eneo la mashariki unaishia kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika.
Eneo lote ni nyanda za juu zenye kimo cha mita 1700 juu ya UB kwa wastani. Sehemu ya juu zaidi ni kilele cha mlima Heha chenye mita 2685 juu ya uwiano wa bahari uliopo katika safu ya milima inayopakana na bonde la ufa la Afrika ya Mashariki.
Sehemu ya magharibi ya nchi ni sehemu ya bonde la ufa yenye kimo cha mita 760-850 juu ya uwiano wa bahari. Sehemu ya kusini ya bonde la ufa katika Burundi imejaa maji ya Ziwa Tanganyika.
Upande wa mashariki wa safu ya milima inayopakana na bonde la ufa kuna chanzo cha mto Ruvyironza (pia: Luvironza) unaoishia katika mto Kagera na hivyo huhesabiwa kati ya vyanzo vya mto Naili.[1]
Hali ya hewa ni ya kitropiki: kuna vipindi viwili vya mvua. Joto linapungua kutokana na kimo cha nchi. Kuna mvua kwa wastani wa milimita 1,000 kwa mwaka.
Matumizi ya ardhi ni kwa ajili ya kilimo au mifugo. Msongamano wa watu umesababisha kuenea kwa ukataji wa misitu, mmomonyoko wa ardhi na kupotea kwa ardhi yenye rutuba[2]. Eneo la misitu lililobaki ni kilomita cha mraba 600 pekee linalopungua kwa kasi ya asilimia 9 kwa mwaka[3].
Kuna hifadhi mbili za taifa ambazo ni Hifadhi ya Taifa ya Kibira kwenye kaskazini-magharibi (inapakana na Msitu wa Nyungwe huko Rwanda), na Hifadhi ya Taifa ya Ruvubu upande wa kaskazni-mashariki karibu na mto Rurubu (pia Ruvubu au Ruvuvu). Hifadhi zote mbili zilianzishwa mwaka 1982 kwa shabaha ya kuhifadhi wanyamapori[4].
Hali ya nchi kijamii na kisiasa
Mara kadhaa nchi hii imekuwa na misukosuko na machafuko ya kisiasa na ya kijamii. Shida kubwa ni kuwa Burundi haina maliasili ya kutosheleza umma na kutosheleza ratili ya kisiasa kwa walio wengi Wahutu na walio wachache Watutsi na Watwa. Pia kuna kabila la Warundi wanaojinasibu kuwa wao sio Watutsi wala Wahutu bali ni Waswahili. Hilo kabila la Waswahili lilikuwepo toka enzi za tawala za kifalme nchini humo, na ndio wenyeji wa jiji la Bujumbura, waliomsaidia Mwanamfalme Louis Rwagasore katika harakati za kutafuta uhuru wa Burundi.
Utawala
Burundi imegawiwa katika mikoa 18 (kwa Kifaransa province, kwa Kirundi: IProvense) inayoitwa kufuatana na miji yenye makao makuu ya utawala.
*Angalia Mikoa ya Burundi
Mikoa imegawiwa kwa wilaya inayoitwa "communes" na hii imegawiwa kwa "collines" (vilima).
Watu na Utamaduni
Utafiti
Mambo mengi ya Burundi yamepatikana kutoka CIA World Factbook 2000 na 2003 U.S. Department of State website.
Kichunguzi
Ongezea masomo kwa wingi
- Burundi: Ethnic Conflict and Genocide Reni Lemarchand and Lee H. Hamilton
Tazama pia
Tanbihi
- ↑ [Klohn, Wulf and Mihailo Andjelic. [http://www.fao.org/ag/AGL/AGLW/webpub/lakevic/LAKEVIC4.htm Lake Victoria: A Case in International Cooperation]. Food and Agriculture Organization of the United Nations. Retrieved on July 20, 2008]
- ↑ [Bermingham, Eldredge, Dick, Christopher W. and Moritz, Craig (2005). ''Tropical Rainforests: Past, Present, and Future''. Chicago, Illinois: [[University of Chicago]] Press, p. 146. ISBN 0-226-04468-8]
- ↑ [http://www.mongabay.com/deforestation.htm Worldwide Deforestation Rates] Food and Agriculture Organization of the U.N.: The State of the World's Forests 2003. Published on Mongabay.com. Retrieved on June 29, 2008.
- ↑ East, Rob (1999). ''African Antelope Database 1998''. [[Gland, Switzerland]]: [[International Union for Conservation of Nature]], p. 74. ISBN 2-8317-0477-4.
Viungo vya nje
Serikali
- (Kifaransa) Tovuti ya serikali ya Burundi
Habari
- (Kifaransa) Agence Burundaise de Presse (ABP)
- Habari za Burundi toka tovuti ya habari ya allAfrica - Burundi
- Radio Isanganiro Radio binafsi nchini Burundi kwa Kifaransa na Kirundi na Kiswahili.
- umuco.com Habari kuhusu Burundi kwa Kifaransa
- (Kiingereza) (Kifaransa) Burundi Réalités Habari na Uchambuzi kwa Kiingerenza na Kifaransa.
Overviews
Maendelezo
- Open Directory Project - Burundi directory category
- Stanford University - Africa South of the Sahara: Burundi directory category
- University of Pennsylvania - African Studies Center: Burundi directory category
- Yahoo! - Burundi directory category
Vinginevyo
- Burundian Human Rights Organisation "Ligue Iteka" - with up-to-date news in English and French
- Campaign for the prosecution of FNL leader Agathon Rwasa
- Human Rights Watch reports on Burundi
- Woodrow Wilson Center Reports on Burundi
- Human Rights Watch special report on the August 2004 Gatumba massacre
- Links to political analyses from 1998 on by the International Crisis Group
- Reuters Alertnet - Burundi humanitarian news
- Updated humanitarian news from the United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira |