Amerika ya Kati : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Mittelamerika-Pos.png|thumb|300px|Mahali pa Amerika ya Kati duniani]] |
[[Picha:Mittelamerika-Pos.png|thumb|300px|Mahali pa Amerika ya Kati duniani]] |
||
'''Amerika ya Kati''' ni sehemu ya Amerika |
'''Amerika ya Kati''' ni sehemu ya Amerika ya Kusini ya [[Marekani]] na kaskazini ya [[Kolombia]]. |
||
* Kijiografia katika hesabu ya kawaida ya [[bara]] 7 ni sehemu ya [[Amerika ya Kaskazini]]. |
* Kijiografia katika hesabu ya kawaida ya [[bara]] 7 ni sehemu ya [[Amerika ya Kaskazini]]. |
Pitio la 07:38, 28 Aprili 2015
Amerika ya Kati ni sehemu ya Amerika ya Kusini ya Marekani na kaskazini ya Kolombia.
- Kijiografia katika hesabu ya kawaida ya bara 7 ni sehemu ya Amerika ya Kaskazini.
- Kihistoria na kiutamaduni ni pekee.
- Kijiolojia iko kwenye bamba la Karibi ambalo ni bamba la gandunia la pekee na mabamba ya Amerika Kaskazini na Amerika Kusini.
Inajumisha nchi za shingo la nchi kati ya Marekani na Kolombia pamoja na visiwa vya Karibi. Kwenye shingo hiyo kuna nchi zifuatazo:
- Meksiko si sehemu ya shingo la nchi lakini kwa sababu za kihistoria na kiutamaduni mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati
Pia kuna nchi za visiwani katika bahari ya Karibi:
- Antigua na Barbuda
- Bahamas
- Barbados
- Dominica
- Jamhuri ya Dominika
- Grenada
- Haiti
- Jamaika
- Kuba
- Saint Kitts na Nevis
- Saint Lucia
- Saint Vincent na Grenadini
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Amerika ya Kati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |