Paka-kaya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d Robot: af:Kat is a featured article; cosmetic changes |
d →Viungo vya nje: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|af}} (12) using AWB (10903) |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
[[Jamii:Paka na jamaa]] |
[[Jamii:Paka na jamaa]] |
||
{{Link FA|af}} |
|||
{{Link FA|ca}} |
|||
{{Link FA|el}} |
|||
{{Link FA|eo}} |
|||
{{Link FA|es}} |
|||
{{Link FA|hu}} |
|||
{{Link FA|id}} |
|||
{{Link FA|ml}} |
|||
{{Link FA|pt}} |
|||
{{Link FA|ru}} |
|||
{{Link FA|sk}} |
|||
{{Link FA|sr}} |
Pitio la 21:41, 22 Aprili 2015
Paka-kaya | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Paka-kaya
| ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
|
Paka-kaya ni mnyama mdogo alaye nyama na ambaye amefugwa na binadamu tangu miaka maelfu. Paka ni mwana wa familia ya Felidae wanaojumlisha paka pamoja na gwagu (paka-pori) na spishi kubwa kama simba, chui na duma.
Asili ya paka ni paka za porini (kwa hakika paka-jangwa, F. s. lybica) walioanza kutafuta chakula karibu na makazi ya watu wa kale na kuwazoea. Watu walipenda paka kwa sababu paka hushika panya na wanyama wengine wadogo wanaoonekana ni waharibifu katika makazi ya watu. Kwa hiyo paka waliendelea kwa muda mrefu katika mazingira ya kibinadamu kama wawindaji wa panya waliolishwa na watu wakipewa mabaki ya chakula pia. Katika mazingira ya mjini paka hufugwa mara nyingi kama mnyama kipenzi hapati tena nafasi ya kuwinda.