Diokletian : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|en}} (3) using AWB (10903)
Mstari 12: Mstari 12:
[[Jamii:Waliozaliwa 245]]
[[Jamii:Waliozaliwa 245]]
[[Jamii:Waliofariki 312]]
[[Jamii:Waliofariki 312]]

{{Link FA|en}}
{{Link FA|es}}
{{Link FA|fi}}

Pitio la 21:20, 22 Aprili 2015

Gaius Aurelius Valerius Diocletianus (takriban 245 – takriban 312) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 20 Novemba 284 hadi 1 Mei 305 alipojiuzulu. Alimfuata Numerian.

Kwanza alitawala dola zima, lakini 1 Machi 286 alimteua Maximian kutawala sehemu za Magharibi.

Ni maarufu kwa kuendesha dhuluma kali zaidi ya serikali ya Dola la Roma dhidi ya Wakristo.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diokletian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.