Praha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 165 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1085 (translate me) |
d →Picha za Praha: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|gl}} (3) using AWB (10903) |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
[[Jamii:Miji ya Ucheki]] |
[[Jamii:Miji ya Ucheki]] |
||
[[Jamii:Miji Mikuu Ulaya]] |
[[Jamii:Miji Mikuu Ulaya]] |
||
{{Link FA|gl}} |
|||
{{Link FA|hu}} |
|||
{{Link FA|nl}} |
Pitio la 21:16, 22 Aprili 2015
Praha (pia: Praga, Prague (tamka: Prag) -Kicheki: Praha) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Ucheki mwenye wakazi milioni 1.2. Kutokana na uzuri wa majengo yake za kihistoria imeitwa "mji wa dhahabu" au "mji wa minara 100".
Jiografia
Mji uko kando la mto Vltava katika Ucheki ya magharibi. Kitovu cha mji kipo katika pindo la mto kati ya vilima viwili. Mji umeenea zaidi hadi nyanda za juu za jirani. Ndani ya eneo la mji kuna visiwa kadhaa mtoni. Milima ya juu karibi na mji inafikia kimo cha 381 na 385 m.
Viungo vya Nje
Picha za Praha
-
Uwanda wa Vachlav
-
mji wa Kale
-
Sinagogi
-
Hrajin - Boma la Praha
-
Mji na mto
-
Uwanda wa mji wa Kale
-
Kanisa la Mt. Vito
-
Manisipaa ya Kale
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Praha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |