Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
+viambishi awali
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|bg}} (3) using AWB (10903)
Mstari 9: Mstari 9:
[[Jamii:Vipimo]]
[[Jamii:Vipimo]]
[[Jamii:Vipimo sanifu vya kimataifa]]
[[Jamii:Vipimo sanifu vya kimataifa]]

{{Link FA|bg}}
{{Link FA|ro}}
{{Link FA|vi}}

Pitio la 21:13, 22 Aprili 2015

Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kanieneo (paskali), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.

Kwa ajili ya uwingi au sehemu ya vipimo hivi kuna mfuno wa kutumia viambishi awali vya vipimo sanifu vya SI.