William Golding : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 66 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q44183 (translate me)
d Removing Link FA template (handled by wikidata)
Mstari 11: Mstari 11:
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Fasihi]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Fasihi]]

{{Link FA|es}}

Pitio la 14:25, 22 Aprili 2015

William Gerald Golding (19 Septemba 191119 Juni 1993) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya, kwa mfano "Bwana wa Nzi" (kwa Kiingereza Lord of the Flies) iliyotolewa mwaka wa 1954. Mwaka wa 1983 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Mwaka wa 1988 alipewa cheo cha Sir cha Uingereza.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William Golding kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.