Mchemraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[File:Cube.svg|thumb|Mchemraba huwa na pande 6 zenye urefu na upana sawa]] |
[[File:Cube.svg|thumb|150px|Mchemraba huwa na pande 6 zenye urefu na upana sawa]] |
||
[[Picha:120px-Hexahedron-slowturn.gif|150px|thumbnail|Mchemraba ukizunguka]] |
|||
'''Mchemraba''' ni gimba lenye pande sita [[mraba]]. Ni hali ya pekee ya [[mchestatili]]. |
'''Mchemraba''' ni gimba lenye pande sita [[mraba]]. Ni hali ya pekee ya [[mchestatili]]. |
||
Pitio la 20:03, 10 Aprili 2015
Mchemraba ni gimba lenye pande sita mraba. Ni hali ya pekee ya mchestatili.
- Una pembe 8 ambazo zote ni pembemraba na urefu, upana na kimo vyote ni sawa.
- Una kona 12 sawa na nne-nne kati ya hizi ziko sambamba
Mjao
- Mjao wa mchemraba unapatikana kwa kuzidisha urefu kwa upana kwa kimo. Kwa sababu hapo pand zote ni sawa inatosha kuzidisha upande wowote mara tatu.
- Mfano: urefu wa upande wa mchemraba ni sentimita 2 unapiga hesabu ya 23 = 2x2x2 = 8 cm3 (=sentimita mjazo).