Nubia : Tofauti kati ya masahihisho
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' thumbnail|Farao Ramses II akipigania na Wanubia (mnamo mwaka 100 BK) Picha:Christian Nubia.png|thumbnail|Falme za k...' |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | Kutokana na [[picha za ukutani]] katika ma[[kaburi]] ya Misri inaonekana ya kwamba Wanubia walikuwa [[Waafrika weusi]]. [[Jeshi]] la Misri ya kale lilikuwa na vikosi vya Wanubia mara kwa mara. Kutokana na picha hizo inaonekana ya kwamba kulikuwa na ma[[farao]] (wafalme) wenye asili ya Nubia mara kadhaa. |
||
⚫ | |||
Mnamo mwaka [[700 KK]] Wanubia walivamia na kuteka Misri na wafalme wao walitawala milki ya Misri kama [[nasaba]] ya 25 hadi kufukuzwa katika Misri na [[uvamizi]] wa [[Waashuru]]. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | Kutokana na picha za ukutani katika |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
Inajulikana ya kwamba tangu [[karne ya 6]] [[BK]] Nubia ilikuwa nchi ya Kikristo. Falme wa Kikristo ziliendelea zikipigana na [[Waarabu]] walivamia na kuteka Misri katika [[karne ya 7]]. |
|||
⚫ | |||
Polepole [[Uislamu]] ulianza kuenea pamoja na wavamizi Waarabu na milki ya Kikristo ya mwisho katika Nubia ilitekwa na Waislamu mnamo mwaka [[1504]]. |
|||
Polepole sehemu kubwa ya Wanubia waliacha lugha yao na kutumia Kiarabu lakini kuna maeneo ambako Kinubia kinazungumzwa hadi leo. |
Polepole sehemu kubwa ya Wanubia waliacha [[lugha]] yao na kutumia [[Kiarabu]] lakini kuna maeneo ambako Kinubia kinazungumzwa hadi leo. |
||
Vilevile walizidi kuacha Ukristo na [[kusilimu]] ([[mchakato]] huo ulimalizika katika [[karne ya 19]]). |
|||
==Viungo vya Nje== |
==Viungo vya Nje== |
||
Mstari 28: | Mstari 32: | ||
*[http://medievalsaiproject.wordpress.com/ Medieval Sai Project] |
*[http://medievalsaiproject.wordpress.com/ Medieval Sai Project] |
||
*[http://www.wdl.org/en/item/2550 "Journey to Ethiopia, Eastern Sudan, and Nigritia"] was written by [[Pierre Trémaux]] in 1862-63. It features extensive descriptions and drawings of Nubia. |
*[http://www.wdl.org/en/item/2550 "Journey to Ethiopia, Eastern Sudan, and Nigritia"] was written by [[Pierre Trémaux]] in 1862-63. It features extensive descriptions and drawings of Nubia. |
||
{{mbegu-historia}} |
|||
[[Jamii:Historia ya Misri]] |
[[Jamii:Historia ya Misri]] |
Pitio la 14:34, 6 Aprili 2015
Nubia (kutokana na jina la wakazi, kwa Kiarabu نوبة nuba / noba) ni eneo lilipo kando ya mto Naili katika Misri (kusini kwa mji wa Aswan) na Sudan (kaskazini kwa Karthoum).
Katika historia ilikuwa mahali pa falme mbalimbali, na milki za Kushi na Meroe zilikuwa kubwa kati ya hizo.
Tangu zamani Wanubia walikuwa majirani wa Misri ya Kale upande wa kusini. Kulikuwa na vipindi ambako Misri ilitawala sehemu kubwa za Nubia, na pia vipindi ambako Misri ya Kale ilishindana na majirani hao kwa vita.
Kutokana na picha za ukutani katika makaburi ya Misri inaonekana ya kwamba Wanubia walikuwa Waafrika weusi. Jeshi la Misri ya kale lilikuwa na vikosi vya Wanubia mara kwa mara. Kutokana na picha hizo inaonekana ya kwamba kulikuwa na mafarao (wafalme) wenye asili ya Nubia mara kadhaa.
Mnamo mwaka 700 KK Wanubia walivamia na kuteka Misri na wafalme wao walitawala milki ya Misri kama nasaba ya 25 hadi kufukuzwa katika Misri na uvamizi wa Waashuru.
Tangu mnamo 600 KK Nubia ilipata kitovu chake upande wa kusini zaidi katika mazingira ya Meroe.
Waroma wa Kale waliotawala Misri baada ya Julius Caesar walipigana pia mara kadhaa na Wanubia.
Biblia inamtaja Towashi Mwethiopia kama waziri wa "malkia wa Kushi" aliyetembelea Yerusalemu na kuwa Mkristo katika kitabu cha Matendo ya Mitume, mlango wa 8.
Inajulikana ya kwamba tangu karne ya 6 BK Nubia ilikuwa nchi ya Kikristo. Falme wa Kikristo ziliendelea zikipigana na Waarabu walivamia na kuteka Misri katika karne ya 7.
Polepole Uislamu ulianza kuenea pamoja na wavamizi Waarabu na milki ya Kikristo ya mwisho katika Nubia ilitekwa na Waislamu mnamo mwaka 1504.
Polepole sehemu kubwa ya Wanubia waliacha lugha yao na kutumia Kiarabu lakini kuna maeneo ambako Kinubia kinazungumzwa hadi leo.
Vilevile walizidi kuacha Ukristo na kusilimu (mchakato huo ulimalizika katika karne ya 19).
Viungo vya Nje
- African Kingdoms
- Ancient Sudan Website
- Racism and the Rediscovery of Ancient Nubia
- Medieval Sai Project
- "Journey to Ethiopia, Eastern Sudan, and Nigritia" was written by Pierre Trémaux in 1862-63. It features extensive descriptions and drawings of Nubia.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nubia kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |