Masafa ya mawimbi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ |
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inaonyesha umbali kati ya vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]] |
||
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili]] |
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili.]] |
||
'''Urefu wa wimbi''' ( |
'''Urefu wa wimbi''' (pia '''lukoka'''<ref>Lukoka ni [[pendekezo]] la [[KAST]], [[1995]] lisilotumika sana</ref>; kwa [[Kiingereza]] ''wavelength'') ni namna ya kupima na kutaja [[ukubwa]] wa [[wimbi]]. |
||
Ni [[umbali]] kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya [[kilele]] na kilele au ma[[bonde]] yao. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
||
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Mawimbi |
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Mawimbi marefu yanayoweza kutambuliwa na [[milango ya fahamu]] ya [[binadamu]] ni [[sauti]] ya [[besi]] yenye lukoka ya [[mita]] 21. [[Sikio]] letu linatambua mawimbi yenye urefu kati ya [[milimita]] 17 hadi mita 21. |
||
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
||
*Urefu wa wimbiredio ni kati ya [[milimita]] 1 hadi [[kilomita]] 100. |
*Urefu wa wimbiredio ni kati ya [[milimita]] 1 hadi [[kilomita]] 100. |
||
*nuru inayoonekana kwa macho yetu ina lukoka kati ya |
*nuru inayoonekana kwa [[macho]] yetu ina lukoka kati ya [[nanomita]] 380 ([[urujuani]]) hadi 780 ([[nyekundu]]). [[Nyuki]] huona pia [[mnururisho]] mfupi zaidi yaani [[urujuanimno]], lakini hawaoni nyekundu. |
||
*[[eksirei]] zina lukoka baina ya nanomita 0.01 hadi |
*[[eksirei]] zina lukoka baina ya nanomita 0.01 hadi 10. |
||
*urefu wa mawimbi [[gammarei]] iko katika upeo wa [[pikomita]]. |
*urefu wa mawimbi [[gammarei]] iko katika upeo wa [[pikomita]]. |
||
==Urefu wa wimbi na marudio== |
==Urefu wa wimbi na marudio== |
||
Urefu wa wimbi huwa na uhusiano wa kinyume na [[marudio]] ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni juu, urefu wake ni mdogo. Vilevile kinyume kama wimbi lina urefu mkubwa, marudio yake ni |
Urefu wa wimbi huwa na uhusiano wa kinyume na [[marudio]] ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni ya juu, urefu wake ni mdogo. Vilevile kinyume, kama wimbi lina urefu mkubwa, marudio yake ni madogo. |
||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
Mstari 29: | Mstari 31: | ||
*[http://www.magnetkern.de/spektrum.html The visible electromagnetic spectrum displayed in web colors with according wavelengths] |
*[http://www.magnetkern.de/spektrum.html The visible electromagnetic spectrum displayed in web colors with according wavelengths] |
||
[[ |
[[Jamii:Fizikia]] |
Pitio la 10:32, 2 Aprili 2015
Urefu wa wimbi (pia lukoka[1]; kwa Kiingereza wavelength) ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa wimbi.
Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao.
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia, kwa mfano:
- mawimbi ya maji
- mawimbisauti
- mawimbi sumakuumeme pamoja na nuru na wimbiredio
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Mawimbi marefu yanayoweza kutambuliwa na milango ya fahamu ya binadamu ni sauti ya besi yenye lukoka ya mita 21. Sikio letu linatambua mawimbi yenye urefu kati ya milimita 17 hadi mita 21.
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa.
- Urefu wa wimbiredio ni kati ya milimita 1 hadi kilomita 100.
- nuru inayoonekana kwa macho yetu ina lukoka kati ya nanomita 380 (urujuani) hadi 780 (nyekundu). Nyuki huona pia mnururisho mfupi zaidi yaani urujuanimno, lakini hawaoni nyekundu.
- eksirei zina lukoka baina ya nanomita 0.01 hadi 10.
- urefu wa mawimbi gammarei iko katika upeo wa pikomita.
Urefu wa wimbi na marudio
Urefu wa wimbi huwa na uhusiano wa kinyume na marudio ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni ya juu, urefu wake ni mdogo. Vilevile kinyume, kama wimbi lina urefu mkubwa, marudio yake ni madogo.
Marejeo
Tovuti za Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu: