Masafa ya mawimbi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala moved page Lukoka to Urefu wa wimbi over redirect |
urefu wa mawimbi badala ya lukoka |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inonyesha umbali kati vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]] |
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inonyesha umbali kati vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]] |
||
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili]] |
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili]] |
||
''' |
'''Urefu wa wimbi''' ([[ing.]] ''wavelength'', pia '''lukoka'''<ref>pendekezo la [[Kast]], 1995 lisilotumiwa sana</ref>) ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa [[wimbi]]. Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao. |
||
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano: |
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano: |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
||
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. |
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Mawimbi ndefu yanayoweza kutambuliwa na milango ya fahamu ya binadamu ni sauti ya [[besi]] yenye lukoka ya mita 21. Sikio letu linatambua mawimbi yenye urefu kati ya milimita 17 hadi mita 21. |
||
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
*urefu wa mawimbi [[gammarei]] iko katika upeo wa [[pikomita]]. |
*urefu wa mawimbi [[gammarei]] iko katika upeo wa [[pikomita]]. |
||
== |
==Urefu wa wimbi na marudio== |
||
Urefu wa wimbi huwa na uhusiano wa kinyume na [[marudio]] ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni juu, urefu wake ni mdogo. Vilevile kinyume kama wimbi lina urefu mkubwa, marudio yake ni ndogo. |
|||
Pitio la 20:49, 1 Aprili 2015
Urefu wa wimbi (ing. wavelength, pia lukoka[1]) ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa wimbi. Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao.
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano:
- mawimbi ya maji
- wimbisauti
- mawimbi sumakuumeme pamoja na nuru na wimbiredio
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Mawimbi ndefu yanayoweza kutambuliwa na milango ya fahamu ya binadamu ni sauti ya besi yenye lukoka ya mita 21. Sikio letu linatambua mawimbi yenye urefu kati ya milimita 17 hadi mita 21.
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa.
- Urefu wa wimbiredio ni kati ya milimita 1 hadi kilomita 100.
- nuru inayoonekana kwa macho yetu ina lukoka kati ya nanomita 380 (urujuani) hado 780(nyekundu). Nyuki huona pia mnururisho mfupi zaidi yaani urujuanimno, lakini hawaoni nyekundu.
- eksirei zina lukoka baina ya nanomita 0.01 hadi 10nm
- urefu wa mawimbi gammarei iko katika upeo wa pikomita.
Urefu wa wimbi na marudio
Urefu wa wimbi huwa na uhusiano wa kinyume na marudio ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni juu, urefu wake ni mdogo. Vilevile kinyume kama wimbi lina urefu mkubwa, marudio yake ni ndogo.
Marejeo ya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu: