Wilaya ya Kigamboni : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3815143 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |
||
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Temeke|Temeke]] |
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Temeke|Temeke]] |
||
|wakazi_kwa_ujumla = |
|wakazi_kwa_ujumla = 30,496 |
||
|latd=6 |latm=52 |lats=8 |latNS=S |
|latd=6 |latm=52 |lats=8 |latNS=S |
||
|longd=39 |longm=15 |longs=40 |longEW=E |
|longd=39 |longm=15 |longs=40 |longEW=E |
||
Mstari 20: | Mstari 20: | ||
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|200px|Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam]] |
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|200px|Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam]] |
||
[[Image:DarEsSalaam-KigamboniBeach.jpg|thumb|200px|Mapumziko Kigamboni ufukoni]] |
[[Image:DarEsSalaam-KigamboniBeach.jpg|thumb|200px|Mapumziko Kigamboni ufukoni]] |
||
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la kata ya Wilaya ya [[Temeke]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[ |
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la kata ya Wilaya ya [[Temeke]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ina wakazi wapatao 30,496 waishio humo kata ya kigamboni. |
||
Kigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la [[Dar es Salaam]] kwa maji ya [[Kurasini Creek]]. Mawasiliano yapo kwa njia ya feri kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa jiji. Kuna pia barabara inayozunguka bandari lakini njia hii ni mbali mno ni kilomita zaidi ya hamsini hadi kitovu cha jiji kwa njia ya nchi kavu. Kuna mipango ya kujenga daraja. |
Kigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la [[Dar es Salaam]] kwa maji ya [[Kurasini Creek]]. Mawasiliano yapo kwa njia ya feri kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa jiji. Kuna pia barabara inayozunguka bandari lakini njia hii ni mbali mno ni kilomita zaidi ya hamsini hadi kitovu cha jiji kwa njia ya nchi kavu. Kuna mipango ya kujenga daraja. |
Pitio la 08:29, 22 Machi 2015
Kata ya Kigamboni | |
Mahali pa Kigamboni katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°52′8″S 39°15′40″E / 6.86889°S 39.26111°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Temeke |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 30,496 |
Wilaya ya Kigamboni ni jina la kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 30,496 waishio humo kata ya kigamboni.
Kigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la Dar es Salaam kwa maji ya Kurasini Creek. Mawasiliano yapo kwa njia ya feri kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa jiji. Kuna pia barabara inayozunguka bandari lakini njia hii ni mbali mno ni kilomita zaidi ya hamsini hadi kitovu cha jiji kwa njia ya nchi kavu. Kuna mipango ya kujenga daraja.
Kiasili sehemu hii ilikuwa kijiji cha wavuwi lakini katika miaka ya nyuma watu wa jijini wamejenga nyumba na hoteli za kitalii zimeenea kwenye ufuko wa Bahari Hindi.
Marejeo
Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania | ||
---|---|---|
Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni | Sandali | Tandika | Temeke | Toangoma | Yombo Vituka |
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kigamboni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |