Masafa ya mawimbi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inonyesha umbali kati vilele vya mawimbi mawili au ur...' |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inonyesha umbali kati vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]] |
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inonyesha umbali kati vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]] |
||
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili]] |
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili]] |
||
'''Lukoka''' au '''urefu wa wimbi''' ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa [[wimbi]]. Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao. |
'''Lukoka''' au '''urefu wa wimbi''' ([[ing.]] ''wavelenghth'') ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa [[wimbi]]. Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao. |
||
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano: |
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano: |
Pitio la 13:31, 16 Machi 2015
Lukoka au urefu wa wimbi (ing. wavelenghth) ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa wimbi. Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao.
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia , kwa mfano:
- mawimbi ya maji
- wimbisauti
- mawimbi sumakuumeme pamoja na nuru na wimbiredio
Urefu wa mawimbi unatofautiana sana. Lukoka ndefu inayoweza kutambuliwa na milango ya fahamu ya binadamu ni sauti ya besi yenye lukoka ya mita 21. Sikio letu linatambua lukoka kati ya milimita 17 hadi mita 21.
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa.
- Urefu wa wimbiredio ni kati ya milimita 1 hadi kilomita 100.
- nuru inayoonekana kwa macho yetu ina lukoka kati ya nanomita 380 (urujuani) hado 780(nyekundu). Nyuki huona pia mnururisho mfupi zaidi yaani urujuanimno, lakini hawaoni nyekundu.
- eksirei zina lukoka baina ya nanomita 0.01 hadi 10nm
- urefu wa mawimbi gammarei iko katika upeo wa pikomita.
Lukoka na marudio
Lukoka huwa na uhusiano wa kinyume na marudio ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni juu, lukoka yake ni ndogo. Vilevile kinyume kama lukoka ina urefu mkubwa, marudio yake ni ndogo.
Marejeo ya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu: