Afya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[File:NewZealand-Stamp-1933-Health.jpg|thumb|422x422px|<nowiki>Stempu ya posta ya [[New Zealand]], mnamo mwaka 1933</nowiki>]] |
[[File:NewZealand-Stamp-1933-Health.jpg|thumb|422x422px|<nowiki>Stempu ya posta ya [[New Zealand]], mnamo mwaka [[1933]]</nowiki>]] |
||
'''Afya''' ni hali ya kujisikia vizuri ki[[mwili]] na ki[[roho]] bila kusumbuliwa na [[ugonjwa]] wowote. |
|||
Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya. |
|||
=== Fafanuzi za afya === |
=== Fafanuzi za afya === |
||
* [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) lilitoa ufafanuzi ufuatao: "Afya ni hali ya ustawi kamili kimwili, kiroho na |
* [[Shirika la Afya Duniani]] (WHO) lilitoa ufafanuzi ufuatao: "Afya ni hali ya [[ustawi]] kamili kimwili, kiroho na ki[[jamii]] na zaidi ya kukosa ugonjwa." <ref><nowiki>http://www.who.int/bulletin/archives/80(12)981.pdf ''WHO definition of Health''</nowiki></ref> |
||
* Mwanafalsafa [[Friedrich Nietzsche]] |
* [[Mwanafalsafa]] [[Friedrich Nietzsche]]: "Afya ni [[kiwango]] cha ugonjwa kinachoniruhusu kutekeleza [[shughuli]] zangu muhimu." |
||
⚫ | |||
* |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
==Viungo vya Nje== |
==Viungo vya Nje== |
||
{{Wiktionary|Health}} {{Wikiquote|Health}} |
{{Wiktionary|Health}} |
||
{{Wikiquote|Health}} |
|||
* [http://www.who.int World Health Organization] |
* [http://www.who.int World Health Organization] |
||
* [http://www.nhs.uk UK National Health Service] |
* [http://www.nhs.uk UK National Health Service] |
||
* [http://stats.oecd.org/Index.aspx?DataSetCode=HEALTH OECD Health Statistics] |
* [http://stats.oecd.org/Index.aspx?DataSetCode=HEALTH OECD Health Statistics] |
||
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/us/health.htm Health and Medical Information] from the University of Colorado |
* [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/us/health.htm Health and Medical Information] from the University of Colorado |
||
{{mbegu}} |
|||
[[Jamii:Afya]] |
Pitio la 13:06, 15 Machi 2015
Afya ni hali ya kujisikia vizuri kimwili na kiroho bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote.
Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya.
Fafanuzi za afya
- Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitoa ufafanuzi ufuatao: "Afya ni hali ya ustawi kamili kimwili, kiroho na kijamii na zaidi ya kukosa ugonjwa." [1]
- Mwanafalsafa Friedrich Nietzsche: "Afya ni kiwango cha ugonjwa kinachoniruhusu kutekeleza shughuli zangu muhimu."
- Mwanasosholojia Talcott Parsons: "Afya ni hali ya mtu kuwa na uwezo bora wa kutekeleza shughuli alizofundishwa kukubali kama wajibu wake."
- Kwa watu wengi ni hali ya kutosumbuliwa na maumivu na udhaifu, pamoja na uwezo wa kutumia sehemu zote za mwili. Ni wazi ya kwamba hisia hii ni tofauti kati ya mtu na mtu.
Tanbihi
- ↑ http://www.who.int/bulletin/archives/80(12)981.pdf ''WHO definition of Health''
Viungo vya Nje
- World Health Organization
- UK National Health Service
- OECD Health Statistics
- Health and Medical Information from the University of Colorado
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |