Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 12: Mstari 12:


[[bg:Павел Черенков]]
[[bg:Павел Черенков]]
[[bn:পাভেল আলেক্সেইয়েভিচ চেরেংকভ]]
[[ca:Pàvel Aleksèievitx Txerenkov]]
[[ca:Pàvel Aleksèievitx Txerenkov]]
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]
[[cs:Pavel Alexejevič Čerenkov]]

Pitio la 11:27, 27 Novemba 2007

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.