Hiroshima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 92 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q34664 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
}} |
}} |
||
[[Picha:Flag of Hiroshima City.png|left|80px]] |
[[Picha:Flag of Hiroshima City.png|left|80px|Bendera ya mji.]] |
||
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|Jengo la "Kuba ya Bomu |
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|[[Jengo]] la "[[Kuba ya Bomu la nyuklia]]" ni [[ghofu]] la [[nyumba]] linalohifadhiwa kama [[kumbukumbu]] ya [[mlipuko]] wa mwaka 1945.]] |
||
'''Hiroshima''' |
'''Hiroshima''' ndio [[mji mkuu]] wa [[Mkoa wa Hiroshima]]. |
||
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2009]], [[mji]] huo una wakazi wapatao milioni 1.2. |
|||
⚫ | Mji umekuwa maarufu |
||
Uko kwenye [[kisiwa]] cha [[Honshu]]. |
|||
⚫ | |||
⚫ | Mji umekuwa maarufu [[dunia]]ni kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika [[historia]] kushambuliwa kwa [[bomu ya nyuklia]]. Tarehe [[6 Agosti]] [[1945]] [[ndege ya kivita]] ya [[Marekani]] ilitupa [[bomu]] moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya [[kansa]] iliyosababishwa na [[mnururisho]]. |
||
⚫ | |||
== Tovuti za Nje == |
== Tovuti za Nje == |
||
* [http://www.city.hiroshima.jp/e/index-E.html Tovuti rasmi] |
* [http://www.city.hiroshima.jp/e/index-E.html Tovuti rasmi] |
||
* [http://ww2db.com/battle_spec.php?battle_id=49 WW2DB: |
* [http://ww2db.com/battle_spec.php?battle_id=49 WW2DB: Maangamizi ya Hiroshima na Nagasaki] |
||
{{mbegu-jio-Japani}} |
{{mbegu-jio-Japani}} |
||
Mstari 39: | Mstari 43: | ||
[[Jamii:Chūgoku]] |
[[Jamii:Chūgoku]] |
||
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]] |
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]] |
||
[[Jamii:Honshu]] |
|||
[[Jamii:Vita vikuu vya pili]] |
Pitio la 11:28, 8 Februari 2015
Hiroshima | |||
| |||
Nchi | Japani | ||
---|---|---|---|
Kanda | Chūgoku | ||
Mkoa | Hiroshima | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 1,169,018 | ||
Tovuti: www.city.hiroshima.jp |
Hiroshima ndio mji mkuu wa Mkoa wa Hiroshima.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji huo una wakazi wapatao milioni 1.2.
Mji umekuwa maarufu duniani kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika historia kushambuliwa kwa bomu ya nyuklia. Tarehe 6 Agosti 1945 ndege ya kivita ya Marekani ilitupa bomu moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na mnururisho wa kinyuklia. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya kansa iliyosababishwa na mnururisho.
Mji ukajengwa upya baada ya vita kuu ya pili ya dunia. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika orodha ya urithi wa dunia.
Tovuti za Nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hiroshima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |