Hiroshima : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 92 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q34664 (translate me)
No edit summary
Mstari 21: Mstari 21:


}}
}}
[[Picha:Flag of Hiroshima City.png|left|80px]]
[[Picha:Flag of Hiroshima City.png|left|80px|Bendera ya mji.]]
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko wa 1945]]
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|[[Jengo]] la "[[Kuba ya Bomu la nyuklia]]" ni [[ghofu]] la [[nyumba]] linalohifadhiwa kama [[kumbukumbu]] ya [[mlipuko]] wa mwaka 1945.]]
'''Hiroshima''' ndiyo [[mji mkuu]] katika [[Mkoa wa Hiroshima]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 1.2 wanaoishi katika mji huu. Iko kwenye kisiwa cha [[Honshu]].
'''Hiroshima''' ndio [[mji mkuu]] wa [[Mkoa wa Hiroshima]].


Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2009]], [[mji]] huo una wakazi wapatao milioni 1.2.
Mji umekuwa maarufu duniani kwa sababu ilikuwa mji wa kwanza katika historia iliyoshambuliwa kwa [[bomu ya nyuklia]] tar. [[6 Agosti]] [[1945]]. Ndege ya kivita ya [[Marekani]] ikatupa bomu moja iliyoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendlea kufa kwa sababu ya kansa iliyosababishwa na mnururisho.


Uko kwenye [[kisiwa]] cha [[Honshu]].
Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika orodha ya [[urithi wa dunia]].

Mji umekuwa maarufu [[dunia]]ni kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika [[historia]] kushambuliwa kwa [[bomu ya nyuklia]]. Tarehe [[6 Agosti]] [[1945]] [[ndege ya kivita]] ya [[Marekani]] ilitupa [[bomu]] moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya [[kansa]] iliyosababishwa na [[mnururisho]].

Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika [[orodha]] ya [[urithi wa dunia]].


== Tovuti za Nje ==
== Tovuti za Nje ==
* [http://www.city.hiroshima.jp/e/index-E.html Tovuti rasmi]
* [http://www.city.hiroshima.jp/e/index-E.html Tovuti rasmi]
* [http://ww2db.com/battle_spec.php?battle_id=49 WW2DB: Destruction of Hiroshima and Nagasaki]
* [http://ww2db.com/battle_spec.php?battle_id=49 WW2DB: Maangamizi ya Hiroshima na Nagasaki]


{{mbegu-jio-Japani}}
{{mbegu-jio-Japani}}
Mstari 39: Mstari 43:
[[Jamii:Chūgoku]]
[[Jamii:Chūgoku]]
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]]
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]]
[[Jamii:Honshu]]
[[Jamii:Vita vikuu vya pili]]

Pitio la 11:28, 8 Februari 2015








Hiroshima
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi Japani
Kanda Chūgoku
Mkoa Hiroshima
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,169,018
Tovuti:  www.city.hiroshima.jp
Bendera ya mji.
Bendera ya mji.
Jengo la "Kuba ya Bomu la nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko wa mwaka 1945.

Hiroshima ndio mji mkuu wa Mkoa wa Hiroshima.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji huo una wakazi wapatao milioni 1.2.

Uko kwenye kisiwa cha Honshu.

Mji umekuwa maarufu duniani kwa sababu ulikuwa mji wa kwanza katika historia kushambuliwa kwa bomu ya nyuklia. Tarehe 6 Agosti 1945 ndege ya kivita ya Marekani ilitupa bomu moja lililoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na mnururisho wa kinyuklia. Wengine waliendelea kufa kwa sababu ya kansa iliyosababishwa na mnururisho.

Mji ukajengwa upya baada ya vita kuu ya pili ya dunia. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika orodha ya urithi wa dunia.

Tovuti za Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hiroshima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.