Nagasaki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Nagasaki C1414.jpg|thumb|300px|Nagasaki mwaka 2004]] |
[[Picha:Nagasaki C1414.jpg|thumb|300px|Nagasaki mwaka [[2004]].]] |
||
[[Picha:Map Nagasaki en.png|thumb|300px|Mahali pa Nagasaki]] |
[[Picha:Map Nagasaki en.png|thumb|300px|Mahali pa Nagasaki.]] |
||
'''Nagasaki''' ni [[mji]] wa [[Japani]] kwenye [[kisiwa]] cha [[Kyushu]] mwenye wakazi 450,000. |
'''Nagasaki''' ni [[mji]] wa [[Japani]] kwenye [[kisiwa]] cha [[Kyushu]] mwenye wakazi 450,000. |
||
Umejulikana kimataifa kwa sababu uliharibiwa |
Umejulikana kimataifa kwa sababu uliharibiwa tarehe [[9 Agosti]] [[1945]] na [[bomu la nyuklia]] la Ki[[marekani]] kama mji wa pili katika [[historia]] baada ya [[Hiroshima]]. [[Bomu]] hilo liliua watu 36,000 mara moja na wengine waliokadiriwa kuwa kati ya 70,000 na 100,000 walikufa baadaye kufuatana athira ya [[mnururisho wa kinyuklia]]. |
||
Kihistoria Nagasaki ilikuwa [[kitovu]] cha [[Ukristo]] katika Japani mnamo mwaka [[1600]]. [[Imani]] hiyo ilipigwa [[marufuku]] na serikali, hivyo Wakristo wengi [[ |
Kihistoria Nagasaki ilikuwa [[kitovu]] cha [[Ukristo]] katika Japani mnamo mwaka [[1600]]. [[Imani]] hiyo ilipigwa [[marufuku]] na [[serikali]], hivyo Wakristo wengi [[kifodini|waliuawa]] katika miaka iliyofuata. Wachache walitunza imani kwa siri hadi kurudishwa kwa [[uhuru wa dini]] katika [[karne ya 19]]. |
||
== Viungo vya Nje == |
== Viungo vya Nje == |
Pitio la 11:22, 8 Februari 2015
Nagasaki ni mji wa Japani kwenye kisiwa cha Kyushu mwenye wakazi 450,000.
Umejulikana kimataifa kwa sababu uliharibiwa tarehe 9 Agosti 1945 na bomu la nyuklia la Kimarekani kama mji wa pili katika historia baada ya Hiroshima. Bomu hilo liliua watu 36,000 mara moja na wengine waliokadiriwa kuwa kati ya 70,000 na 100,000 walikufa baadaye kufuatana athira ya mnururisho wa kinyuklia.
Kihistoria Nagasaki ilikuwa kitovu cha Ukristo katika Japani mnamo mwaka 1600. Imani hiyo ilipigwa marufuku na serikali, hivyo Wakristo wengi waliuawa katika miaka iliyofuata. Wachache walitunza imani kwa siri hadi kurudishwa kwa uhuru wa dini katika karne ya 19.
Viungo vya Nje
- WW2DB: Destruction of Hiroshima and Nagasaki
- Official website in English
- Footage of the bombing of Nagasaki
- Nuclear Files.org
- 'Nagasaki's Sister Cities
- Nagasaki Japan Association for Language Teaching (JALT)
- Nuclear Weapons and Warfare
- Why Hiroshima And Nagasaki
- Nagasaki Prefectual Tourism Federation
- Nagasaki Social Networking Service
- Nagasaki Product Promotion Association
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nagasaki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |