G7 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{| class="infobox" border="1" cellpadding="4" style="float: right; margin: 0 0 1em 1em; width: 25em; border-collapse: collapse; font-size: 90%; clear: right" |-...' |
No edit summary |
||
Mstari 39: | Mstari 39: | ||
==Tanbihi== |
==Tanbihi== |
||
{{reflist}} |
{{reflist}} |
||
==Viungo vya nje== |
|||
{{commons category|Group of Seven}} |
|||
*[http://www.g8.utoronto.ca G7/8 Information Centre - University of Toronto] |
|||
{{mbegu-siasa}} |
{{mbegu-siasa}} |
||
Pitio la 14:27, 31 Januari 2015
Kundi la nchi 7 na Umoja wa Ulaya |
---|
|
Kundi la G7 linaundwa na mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa nchi 7 zilizoendelea sana: Kanada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japani, Ufalme wa Muungano na Marekani ambao wanakutana ili kujadili hasa maswala ya uchumi. Umoja wa Ulaya pia unawakilishwa katika G7.
Nchi hizo zinaongoza kwa utajiri wa kitaifa, zikiwa na 64% ya utajiri wote duniani ($263 trilioni) kadiri ya Credit Suisse Global Wealth Report October 2014.[1]
Tanbihi
- ↑ Credit Suisse Global Wealth Databook 2013. Credit Suisse. October 2013. Check date values in:
|date=
(help)
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |