John F. Kennedy : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Tengua pitio 929581 lililoandikwa na Riccardo Riccioni (Majadiliano)
Tengua pitio 933849 lililoandikwa na 84.189.144.80 (Majadiliano)
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:John F. Kennedy, White House color photo portrait.jpg|thumb|right|John F. Kennedy]]
[[Picha:John F. Kennedy, White House color photo portrait.jpg|thumb|right|John F. Kennedy]]
'''John Fitzgerald Kennedy''' ([[29 Mei]] [[1917]] – [[22 Novemba]] [[1963]]) alikuwa [[Rais]] wa [[Marekani]] kuanzia mwaka [[1961]] hadi alipouawa.
'''John Fitzgerald Kennedy''' ([[29 Mei]] [[1917]] – [[22 Novemba]] [[1963]]) alikuwa Raisi wa [[Marekani]]. Alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto 9. Baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu. Ukoo wa Kennedy una asili ya [[Ueire|Kiirish]]. [[Vita Kuu ya Pili]] ilipoanza alijiunga na [[jeshi la wanamaji]]. 1943 alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za [[Japani]]. Mwaka 1947 alianza kujiingiza katika siasa na 1960 alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba 1963. Atakumbukwa pia kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi.


==Maisha==
Alisema "Ask not what you can do for your country; ask what your country can do for you."
Alikuwa [[mtoto]] wa pili katika [[familia]] ya watoto 9. [[Baba]] yake alikuwa [[mfanyabiashara]] maarufu wa [[ukoo]] wenye asili ya [[Ueire|Kiirish]].


[[Vita Kuu ya Pili]] ilipoanza alijiunga na [[jeshi la wanamaji]]. Mwaka [[1943]] alijeruhiwa katika [[shambulio]] lililofanywa na [[ndege za kivita]] za [[Japani]].
("Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".)

Mwaka [[1947]] alianza kujiingiza katika [[siasa]] na mwaka [[1960]] alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Ni rais pekee muumini wa [[Kanisa Katoliki]] katika [[historia]] ya nchi hiyo.

Aliuawa kwa kupigwa [[risasi]] tarehe 22 Novemba 1963, akiacha [[mke]] na watoto wawili.

Atakumbukwa kwa kutetea [[haki]] za watu wote bila kujali rangi yao.

Kati ya mengine alisema "Ask not what you can do for your country; ask what your country can do for you." ("Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini, bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".)


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==

Pitio la 11:33, 28 Septemba 2014

John F. Kennedy

John Fitzgerald Kennedy (29 Mei 191722 Novemba 1963) alikuwa Rais wa Marekani kuanzia mwaka 1961 hadi alipouawa.

Maisha

Alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto 9. Baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu wa ukoo wenye asili ya Kiirish.

Vita Kuu ya Pili ilipoanza alijiunga na jeshi la wanamaji. Mwaka 1943 alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za Japani.

Mwaka 1947 alianza kujiingiza katika siasa na mwaka 1960 alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Ni rais pekee muumini wa Kanisa Katoliki katika historia ya nchi hiyo.

Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba 1963, akiacha mke na watoto wawili.

Atakumbukwa kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi yao.

Kati ya mengine alisema "Ask not what you can do for your country; ask what your country can do for you." ("Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini, bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".)

Viungo vya nje

}}

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John F. Kennedy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA