Edomu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|250px|Eneo husika lililokuwa mwaka [[830 KK. Edomu inaonyeshwa kwa rangi ya njano.]] File:Edom.PNG|right|thu...'
 
No edit summary
 
Mstari 15: Mstari 15:
==Marejeo==
==Marejeo==
*[http://www.jewishencyclopedia.com/view.jsp?artid=45&letter=E&search=Edom Gottheil, Richard and M. Seligsohn. "Edom, Idumea."] ''[[Jewish Encyclopedia]]''. Funk and Wagnalls, 1901–1906; which cites:
*[http://www.jewishencyclopedia.com/view.jsp?artid=45&letter=E&search=Edom Gottheil, Richard and M. Seligsohn. "Edom, Idumea."] ''[[Jewish Encyclopedia]]''. Funk and Wagnalls, 1901–1906; which cites:
*{{JewishEncyclopedia}}


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
Mstari 21: Mstari 20:
*[http://ucsdnews.ucsd.edu/newsrel/soc/EDOM.asp UCSD article on age of Edom]
*[http://ucsdnews.ucsd.edu/newsrel/soc/EDOM.asp UCSD article on age of Edom]


[[Category:Historia ya Yordan]]
[[Category:Historia ya Yordani]]
[[Category:Historia ya Israeli]]
[[Category:Historia ya Israeli]]
[[Category:Watu wa Biblia]]
[[Category:Watu wa Biblia]]

Toleo la sasa la 07:33, 14 Septemba 2014

Eneo husika lililokuwa mwaka 830 KK. Edomu inaonyeshwa kwa rangi ya njano.
Ufalme wa Edomu (kwa rangi nyekundu) ulipofikia eneo kubwa zaidi, mwaka 600 KK hivi. Nyekundu iliyokolea inaonyesha mipaka ya kawaida zaidi ya Idumea.

Edomu (kwa Kiebrania אֱדוֹם, Edom, ʼĔḏôm, yaani "nyekundu"[1]) au Idumea (kwa Kigiriki Ἰδουμαία, Idoumaía; kwa Kilatini Idūmaea) walikuwa taifa la Kisemiti lililoshi kusini kwa Bahari ya Chumvi katika eneo ambao leo limegawanyika kati ya Israeli na Yordan.

Biblia inawataja mara nyingi kama washindani wa taifa la Waisraeli[2]ambao walikuwa na undugu kutokana na mababu wao kuwa watoto pacha wa Isaka, mwana wa Abrahamu.

Mataifa hayo mawili yaliendelea kushindana mpaka Edomu ilipomezwa na Israeli wakati wa Wamakabayo (karne ya 2 KK).

Baada ya hapo, Mwedomu Herode Mkuu alipata kuwa mfalme wa Israeli (37 KK - 4 KK) na kuacha ukoo ulioendelea kutawala kwa kwikwi chini ya himaya ya Dola la Roma kwa mwaka 100 hivi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: