Mwanaanga : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
Wafalki wa kwanza waliofika kwenye uso wa mwezi walikuwa Wamarekani [[Neil Armstrong]] na [[Buzz Aldrin]] tar. [[20 Julai]] [[1969]]. |
Wafalki wa kwanza waliofika kwenye uso wa mwezi walikuwa Wamarekani [[Neil Armstrong]] na [[Buzz Aldrin]] tar. [[20 Julai]] [[1969]]. |
||
Hadi machi 2008 jumla ya watu 477 kutoka nchi 39 walifika kwenye kimo cha kilomita 100 juu ya uso wa dunia ambacho ni kimo ambako |
Hadi machi 2008 jumla ya watu 477 kutoka nchi 39 walifika kwenye kimo cha kilomita 100 juu ya uso wa dunia ambacho ni kimo ambako fasi(space) inaanzia kulingana na maelezo ya [[Shirikisho la Kimataifa kwa Usafiri wa Angani|Shirikisho la Kimataifa la Usafiri wa Fasi ]](Fédération Aéronautique Internationale (FAI)). |
||
Kati ya hawa ni 24 waliofika mbali zaidi kuliko kilomita 2,000 juu ya uso wa dunia |
Kati ya hawa ni 24 waliofika mbali zaidi kuliko kilomita 2,000 juu ya uso wa dunia. |
||
Mfalki aliyekaa muda mrefu fasini |
Mfalki aliyekaa muda mrefu fasini alikuwa Mrusi [[Sergei Krikalyov]] aliyezuru fasi mara sita, akakaa jumla ya siku 803, masaa 9 na dakika 39. |
||
== Picha za wafalki tajika == |
== Picha za wafalki tajika == |
Pitio la 16:18, 3 Septemba 2014
Mfalki au Mwanafasi ni mtu anayezuri fasi nje ya anga ya dunia kusafiria fasikebu ambalo hurushwa angani kwa kutumia fataki.
Mfalki wa kwanza katika historia ya binadamu alikuwa Mrusi Yuri Gagarin kutoka Umoja wa Kisovyeti alipaa tarehe 12 Aprili 1961 kwa fasikebu Vostok akizunguka dunia lote mara moja katika muda wa dakika 108.
Alifuatwa 5 Mei 1961 na Alan Shepard kutoka Marekani aliyetumia fasikebu cha Mercury .
Mwanamke wa kwanza kwenye fasi alikuwa Mrusi Valentina Tereshkova mwaka 1963.
Wafalki wa kwanza waliofika kwenye uso wa mwezi walikuwa Wamarekani Neil Armstrong na Buzz Aldrin tar. 20 Julai 1969.
Hadi machi 2008 jumla ya watu 477 kutoka nchi 39 walifika kwenye kimo cha kilomita 100 juu ya uso wa dunia ambacho ni kimo ambako fasi(space) inaanzia kulingana na maelezo ya Shirikisho la Kimataifa la Usafiri wa Fasi (Fédération Aéronautique Internationale (FAI)).
Kati ya hawa ni 24 waliofika mbali zaidi kuliko kilomita 2,000 juu ya uso wa dunia.
Mfalki aliyekaa muda mrefu fasini alikuwa Mrusi Sergei Krikalyov aliyezuru fasi mara sita, akakaa jumla ya siku 803, masaa 9 na dakika 39.
Picha za wafalki tajika
-
Yuri Gagarin - Mtu wa kwanza kwenye fasi
-
Alan Shepard - Mtu wa pili Fasini
-
Valentina Tereshkova alikuwa mwanamke wa kwanza Fasini
-
Buzz Aldrin mwezini - Neil Armstrong aliyechukua picha hii anaonekana kwenye dirisha la kofia ya Aldrin
-
Mark Shuttleworth kutoka Afrika Kusini alikuwa mwafrika wa kwanza kuizuru Fasi
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mwanaanga kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |