Ugiriki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 217 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q41 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
|footnotes = <sup>1<sup> Wananchi walikataza kurudi kwa ufalme tar. 8 Desemba 1974.<br /><sup>2</sup> Prior to 2001: [[Drachma|Greek Drachma]].<br /> |
|footnotes = <sup>1<sup> Wananchi walikataza kurudi kwa ufalme tar. 8 Desemba 1974.<br /><sup>2</sup> Prior to 2001: [[Drachma|Greek Drachma]].<br /> |
||
}} |
}} |
||
'''Ugiriki''' (pia: Uyunani; |
'''Ugiriki''' (pia: '''Uyunani'''; kwa [[Kigiriki]]: Ελλάδα, Ellada, au Ελλάς, Ellas) ni nchi ya [[Ulaya]] Kusini-Mashariki katika kusini ya [[rasi]] ya [[Balkani]]. |
||
Imepakana na [[Albania]], [[Jamhuri ya Masedonia]], [[Bulgaria]] na [[Uturuki]]. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[Lugha]] ya [[Kigiriki]] inaendelea kuandikwa kwa [[Alfabeti ya Kigiriki]] inaotumiwa tangu miaka 3000, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena [[Kigiriki cha Kale]] moja kwa moja. |
[[Lugha]] ya [[Kigiriki]] inaendelea kuandikwa kwa [[Alfabeti ya Kigiriki]] inaotumiwa tangu miaka 3000, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena [[Kigiriki cha Kale]] moja kwa moja. |
||
Mstari 67: | Mstari 69: | ||
== Viungo vya nje == |
== Viungo vya nje == |
||
* {{en}} {{fr}} ( |
* {{en}} {{fr}} (Kigiriki) [http://www.presidency.gr/ Rais wa Ugiriki] |
||
{{ |
{{Umoja wa Ulaya}} |
||
{{Ulaya}} |
{{Ulaya}} |
||
{{mbegu-jio-Ulaya}} |
|||
[[Jamii:Ugiriki|*]] |
[[Jamii:Ugiriki|*]] |
||
[[Jamii:Nchi za Umoja wa Ulaya]] |
|||
[[Jamii:Nchi za Ulaya]] |
[[Jamii:Nchi za Ulaya]] |
||
[[Jamii:Balkani]] |
|||
[[Jamii:Maeneo ya Biblia]] |
[[Jamii:Maeneo ya Biblia]] |
||
Pitio la 12:01, 17 Agosti 2014
Ugiriki |
---|
Ugiriki (pia: Uyunani; kwa Kigiriki: Ελλάδα, Ellada, au Ελλάς, Ellas) ni nchi ya Ulaya Kusini-Mashariki katika kusini ya rasi ya Balkani.
Imepakana na Albania, Jamhuri ya Masedonia, Bulgaria na Uturuki.
Upande wa kusini-magharibi na kusini-mashariki kuna pwani ndefu kwenye Bahari ya Mediteranea.
Baharini huko kuna visiwa vingi sana ambavyo ni sehemu za Ugiriki.
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu na maarufu sana, hata inaitwa "nchi mama ya Ulaya".
Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.
Ugiriki ni nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu 1981.
Viungo vya nje
- (Kiingereza) (Kifaransa) (Kigiriki) Rais wa Ugiriki
Nchi za Umoja wa Ulaya | |
---|---|
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ugiriki kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |