Anna Makinda : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q4768588 (translate me) |
d +def using AWB |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
{{mbegu-mwanasiasa}} |
{{mbegu-mwanasiasa}} |
||
{{DEFAULTSORT:Makinda, Anna}} |
|||
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]] |
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]] |
||
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] |
Pitio la 16:05, 16 Agosti 2014
Anna Semamba Makinda (amezaliwa tar. 15 Julai 1949) ni mbunge wa jimbo la Njombe Kusini katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Pia alikuwa Naibu Spika wa Bunge tangu 2006 hadi 2010. Kwa sasa ndiye Spika wa Bunge la Tanzania. Mwaka wa 1990 na 1995 alikuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Pia miaka ya nyuma alishawahi kushika nyandhifa kadha wa kadha.
Marejeo
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anna Makinda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |