Ruthu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Robot: Fixing double redirect
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[File:A.Cortina Ruth.jpg|thumb|220px|''Ruthu'' alivyochorwa na [[Antonio Cortina Farinós]].]]
#REDIRECT [[Kitabu cha Ruthu]]
'''Ruthu''' ni mmojawapo kati ya [[wanawake]] wachache ambao ni wahusika wakuu wa [[kitabu]] kimojawapo cha [[Biblia]], kiasi cha kukipa [[jina]].

Katika fujo ya miaka ya [[Waamuzi]] (inayosimuliwa na [[Kitabu cha Waamuzi]]), habari ya kitabu hiki kifupi inatujenga: inahusu Ruthu, mwanamke [[Mpagani]] wa [[kabila]] la [[Moabu]] aliyeolewa na Mwisraeli kwao, huko ng’ambo ya [[mto]] [[Yordani]].

Baada ya kufiwa [[mume]] wake akafuatana na [[mama mkwe]] [[Naomi]] hadi [[Bethlehemu]] ili aolewe na [[ndugu]] wa [[marehemu]] na kumzalia [[mtoto]] kadiri ya [[Torati]], [[sheria]] ya [[Israeli]].

Baada ya kufanikiwa kuolewa na Boazi kwa msaada wa Naomi, alimzaa [[Obedi]].

Huyo mtoto akawa baba wa [[Yese]] na [[babu]] wa [[mfalme Daudi]].

Hivyo kwa uaminifu wake mwanamke huyo pia akatajwa katika [[Injili]] kama bibi wa [[Yesu]] ([[Math]] 1:5-6).

== Mazingira ==

Habari kuu ya kitabu cha Ruthu ilitokea wakati wa Waamuzi, lakini inafurahisha [[moyo]], ikilinganishwa na hali mbaya ya ki[[dini]] na ya ki[[maadili]] iliyoandikwa katika kitabu cha Waamuzi.

Habari yenyewe inaonyesha kwamba [[imani]] kamili kwa [[Mungu]] na uangalifu na [[upendo]] kwa watu wengine wakati ule pia ulikuwepo katika Israeli.

Katika [[taifa]] zima walikuwepo watu waliojitahidi kuishi maisha ya [[unyenyekevu]] na [[haki]] mbele ya Mungu wa kweli.

Habari hiyo pia inaonyesha kwamba Mungu aliwaangalia watu kama hao kwa [[neema]] yake kubwa, akiyaongoza mambo yao ya kila siku na kuwafanikisha. [[Wema]] huo pia ulikuwa [[baraka]] kwa taifa zima.

== Viungo vya nje ==
* [http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Ru/ Kitabu cha Ruth katika Biblia (Union Version)]

[[Jamii:Watu wa Biblia]]

Pitio la 14:30, 8 Agosti 2014

Ruthu alivyochorwa na Antonio Cortina Farinós.

Ruthu ni mmojawapo kati ya wanawake wachache ambao ni wahusika wakuu wa kitabu kimojawapo cha Biblia, kiasi cha kukipa jina.

Katika fujo ya miaka ya Waamuzi (inayosimuliwa na Kitabu cha Waamuzi), habari ya kitabu hiki kifupi inatujenga: inahusu Ruthu, mwanamke Mpagani wa kabila la Moabu aliyeolewa na Mwisraeli kwao, huko ng’ambo ya mto Yordani.

Baada ya kufiwa mume wake akafuatana na mama mkwe Naomi hadi Bethlehemu ili aolewe na ndugu wa marehemu na kumzalia mtoto kadiri ya Torati, sheria ya Israeli.

Baada ya kufanikiwa kuolewa na Boazi kwa msaada wa Naomi, alimzaa Obedi.

Huyo mtoto akawa baba wa Yese na babu wa mfalme Daudi.

Hivyo kwa uaminifu wake mwanamke huyo pia akatajwa katika Injili kama bibi wa Yesu (Math 1:5-6).

Mazingira

Habari kuu ya kitabu cha Ruthu ilitokea wakati wa Waamuzi, lakini inafurahisha moyo, ikilinganishwa na hali mbaya ya kidini na ya kimaadili iliyoandikwa katika kitabu cha Waamuzi.

Habari yenyewe inaonyesha kwamba imani kamili kwa Mungu na uangalifu na upendo kwa watu wengine wakati ule pia ulikuwepo katika Israeli.

Katika taifa zima walikuwepo watu waliojitahidi kuishi maisha ya unyenyekevu na haki mbele ya Mungu wa kweli.

Habari hiyo pia inaonyesha kwamba Mungu aliwaangalia watu kama hao kwa neema yake kubwa, akiyaongoza mambo yao ya kila siku na kuwafanikisha. Wema huo pia ulikuwa baraka kwa taifa zima.

Viungo vya nje