Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
44,831
edits
(+ matamshi) |
|||
[[Picha:Israel in Hebrew.svg|thumb|"jisrael" ni neno "Israel" kwa lugha ya Kiebrania na kwa mwandiko wa Kiebrania]]
'''Lugha ya Kiebrania''' (עברית ''‘Ivrit'', {{Audio|He-Ivrit-2.ogg|matamshi ya kisasa}}) ni moja ya [[lugha za kisemiti]] na moja kati ya [[lugha]] mbili za kitaifa nchini [[Israel]] (pamoja na [[Kiarabu]]). Ni kati ya lugha za kale zaidi duniani.
Kiebrania kwa kawaida huandikwa kwa [[herufi za Kiebrania]]. Mwandiko huu ni wa [[konsonanti]] hasa, kwa kuwa mara nyingi [[vokali]] haziandikwi kutokana mfumo wa lugha yenyewe.
|