Muwa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 82 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q36940 (translate me)
d The file Image:Faz_S_Sofia_canavial_090607_REFON_.JPG has been replaced by Image:Faz_S_Sofia_canavial_090607_REFON.JPG by administrator commons:User:Ymblanter: ''Robot: Removing space(s) before file extension''. ''[[m:User:CommonsDelinke...
Mstari 40: Mstari 40:
File:Saccharum officinarum yellow canes.JPG|Miwa njano
File:Saccharum officinarum yellow canes.JPG|Miwa njano
File:Saccharum officinarum red canes.JPG|Miwa myekundu
File:Saccharum officinarum red canes.JPG|Miwa myekundu
File:Faz S Sofia canavial 090607 REFON .JPG|Shamba la miwa
File:Faz_S_Sofia_canavial_090607_REFON.JPG|Shamba la miwa
File:Sugar cane dsc09008.jpg|Miwa iliyokatika
File:Sugar cane dsc09008.jpg|Miwa iliyokatika
</gallery>
</gallery>

Pitio la 10:40, 8 Juni 2014

Muwa
(Saccharum spp.)
Miwa inayotoa maua
Miwa inayotoa maua
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae (Mimea iliyo mnasaba na manyasi)
Nusufamilia: Panicoideae
Jenasi: Saccharum
L.
Spishi: Spishi zilizochaguliwa

S. arundinaceum Retz.
S. officinarum L.

Miwa (Saccharum spp.) ni aina za manyasi yanayotoa sukari. Asili yake ilikuwa Asia ya Mashariki na kutoka huko imesambazwa katika nchi za tropiki penye mazingira inayofaa kwake. Kilimo cha mmea huu ni chanzo cha sehemu kubwa ya sukari kwa ajili ya matumizi ya kibinadamu na pia kwa sehemu kubwa ya ethanoli inayotengenzwa kwa matumizi ya biofueli.

Kilimo

Muwa hulimwa kote katika nchi za kitropiki ikiwa ni chanzo cha asilimia 55 ya mahitaji ya sukari duniani. Nchi zinazolima muwa nyingi ni (uzalishaji wa mwaka 2005 kwa tani 1.000)

Nchi za Afrika ya Mashariki huzalisha kiasi kidogo tu duniani kama Tanzania (tani 300,000), Kenya (5,112,000) na Uganda (2,350,000).[1].

Kati ya 204 hadi 2008 uzalishaji duniani ulionhezeka kutoka tani bilioni 1.34 kufikia tani bilioni 1.74. [2]


Picha

Marejeo

  1. takwimu 2008 ya FAO http://faostat.fao.org/site/567/DesktopDefault.aspx?PageID=567#ancor
  2. takwimu ya FAO Food and Agriculture Organization of the United Nations (FAO) FAOSTAT - Production - Crops
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muwa kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.