Tandu-shamba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
dNo edit summary |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
* [[Scolopendrellidae]] |
* [[Scolopendrellidae]] |
||
}} |
}} |
||
'''Tandu-shamba''' ni aina za [[arithropodi]] wadogo katika [[ngeli]] [[Symphyla]] ya [[nusufaila]] [[ |
'''Tandu-shamba''' ni aina za [[arithropodi]] wadogo katika [[ngeli]] [[Symphyla]] ya [[nusufaila]] [[Myriapoda]]. Hata kama wanafanana na [[tandu]] wa kawaida, inaonekana kwamba wana mnasaba zaidi na [[jongoo|majongoo]] lakini uchanganuzi wa ADN umetoa matokeo yanayopingana. Hawa ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wenye mm 2-30. Mwili wao ni mwororo na unapenyeka kwa nuru. Hawana [[jicho|macho]] na hutumia [[kipapasi|vipapasi]] ili kusikia njia. Huonekana katika udongo mpaka kina cha sm 50. Hula dutu ya [[kiumbehai|viumbehai]] lakini spishi kadhaa zinaweza kuharibu [[mmea|mimea]] ya [[shamba]]ni. |
||
==Picha== |
==Picha== |
Pitio la 21:20, 2 Mei 2014
Tandu-shamba | ||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Spishi isiyotambuliwa ya Symphyla
| ||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||
| ||||||||
Ngazi za chini | ||||||||
Familia: |
Tandu-shamba ni aina za arithropodi wadogo katika ngeli Symphyla ya nusufaila Myriapoda. Hata kama wanafanana na tandu wa kawaida, inaonekana kwamba wana mnasaba zaidi na majongoo lakini uchanganuzi wa ADN umetoa matokeo yanayopingana. Hawa ni wanyama wadogo wenye mm 2-30. Mwili wao ni mwororo na unapenyeka kwa nuru. Hawana macho na hutumia vipapasi ili kusikia njia. Huonekana katika udongo mpaka kina cha sm 50. Hula dutu ya viumbehai lakini spishi kadhaa zinaweza kuharibu mimea ya shambani.
Picha
-
Scutigerella immaculata