Tunisia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q948 (translate me)
d update
Mstari 17: Mstari 17:
| [[Aina ya serikali]] || [[Jamhuri]]
| [[Aina ya serikali]] || [[Jamhuri]]
|----
|----
| [[Raisi]] || [[Zine el-Abidine Ben Ali]]
| [[Raisi]] || [[Moncef Marzouki]]
|----
|----
| [[Waziri Mkuu]] || [[Mohamed Ghannouchi]]
| [[Waziri Mkuu]] || [[Mehdi Jomaa]]
|----
|----
| [[Eneo]] || 163.610 [[km²]]
| [[Eneo]] || 163.610 [[km²]]

Pitio la 15:07, 16 Februari 2014

الجمهورية التونسية
al-Dschumhūriyya at-tūnisiyya
Jamhuri ya Tunisia
Bendera ya Tunisia Nembo ya Tunisia
Lugha rasmi Kiarabu1
Mji mkuu Tunis
Aina ya serikali Jamhuri
Raisi Moncef Marzouki
Waziri Mkuu Mehdi Jomaa
Eneo 163.610 km²
Wakazi 9.974.722 (Julai 2004)
Wakazi kwa km² 60
Uhuru 20 Machi 1956 (kutoka Ufaransa)
Pesa Dinari ya Tunisia
Wakati UTC +1
Wimbo wa Taifa Humata l-hima
Sikukuu ya Taifa 7 Novemba
(1) Lugha ya elimu ni Kifaransa
Tunisia katika Afrika ya Kaskazini
Tunisia katika Afrika ya Kaskazini
Ramani ya Tunisia

Tunisia (Jamhuri ya Tunisia - الجمهرية التونسية) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini inayopakana na Bahari ya Mediteranea, Libya na Algeria. Mji mkuu ni Tunis iliyoko mahali pa Karthago ya kale.

Wakazi karibu wote hutumia lugha ya Kiarabu. Takriban watu 200,000 wanaendelea kuzungumza Kiberber ambacho ni lugha ya asili ya wenyeji lakini Waberber wengi wameshaanza kutumia Kiarabu.

Tunisia ilikuwa jimbo la "Africa" katika Dola la Roma. Eneo lake limewahi kutawaliwa na Wafinikia wa Karthago, Waroma wa Kale, Wavandali, Waarabu, Waturuki na Wafaransa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tunisia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA