Diokletian : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 69 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q43107 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Gaius Aurelius Valerius Diocletianus''' (takriban [[245]] – takriban [[312]]) alikuwa [[Kaizari]] wa [[Dola la Roma]] kuanzia [[20 Novemba]] |
'''Gaius Aurelius Valerius Diocletianus''' (takriban [[245]] – takriban [[312]]) alikuwa [[Kaizari]] wa [[Dola la Roma]] kuanzia [[20 Novemba]] [[284]] hadi [[1 Mei]] [[305]] alipojiuzulu. Alimfuata [[Kaizari Numerian|Numerian]]. |
||
Kwanza alitawala dola zima, lakini [[1 Machi]] [[286]] alimteua [[Maximian]] kutawala sehemu za Magharibi. |
|||
Ni maarufu kwa kuendesha [[dhuluma]] kali zaidi ya [[serikali]] ya Dola la Roma dhidi ya [[Wakristo]]. |
|||
{{mbegu-Kaizari-Roma}} |
{{mbegu-Kaizari-Roma}} |
Pitio la 05:13, 26 Januari 2014
Gaius Aurelius Valerius Diocletianus (takriban 245 – takriban 312) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 20 Novemba 284 hadi 1 Mei 305 alipojiuzulu. Alimfuata Numerian.
Kwanza alitawala dola zima, lakini 1 Machi 286 alimteua Maximian kutawala sehemu za Magharibi.
Ni maarufu kwa kuendesha dhuluma kali zaidi ya serikali ya Dola la Roma dhidi ya Wakristo.
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Diokletian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |