Kiiku-Gora-Ankwa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3913940 (translate me)
d →‎Viungo vya nje: kiungo cha kisasa cha Ethnologue using AWB
Mstari 4: Mstari 4:
*[http://multitree.org/codes/ikv lugha ya Kiiku kwenye Multitree]
*[http://multitree.org/codes/ikv lugha ya Kiiku kwenye Multitree]
*[http://llmap.org/languages/ikv.html ramani ya Kiiku]
*[http://llmap.org/languages/ikv.html ramani ya Kiiku]
*http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=ikv
*http://www.ethnologue.com/language/ikv


{{mbegu-lugha}}
{{mbegu-lugha}}

Pitio la 15:02, 13 Januari 2014

Kiiku-Gora-Ankwa (au Kiiku kwa kifupi) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waiku, Wagora na Waankwa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kiiku-Gora-Ankwa imehesabiwa kuwa watu 13,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiiku-Gora-Ankwa kiko katika kundi la Plateau.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiiku-Gora-Ankwa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.