Kiiku-Gora-Ankwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3913940 (translate me) |
d →Viungo vya nje: kiungo cha kisasa cha Ethnologue using AWB |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
*[http://multitree.org/codes/ikv lugha ya Kiiku kwenye Multitree] |
*[http://multitree.org/codes/ikv lugha ya Kiiku kwenye Multitree] |
||
*[http://llmap.org/languages/ikv.html ramani ya Kiiku] |
*[http://llmap.org/languages/ikv.html ramani ya Kiiku] |
||
*http://www.ethnologue. |
*http://www.ethnologue.com/language/ikv |
||
{{mbegu-lugha}} |
{{mbegu-lugha}} |
Pitio la 15:02, 13 Januari 2014
Kiiku-Gora-Ankwa (au Kiiku kwa kifupi) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waiku, Wagora na Waankwa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kiiku-Gora-Ankwa imehesabiwa kuwa watu 13,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiiku-Gora-Ankwa kiko katika kundi la Plateau.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiiku-Gora-Ankwa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |