Kibench : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kibench''' ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wabench. Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kib...'
 
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:Q35108
Mstari 8: Mstari 8:
{{DEFAULTSORT:Bench}}
{{DEFAULTSORT:Bench}}
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]]
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]]

[[en:Bench language]]

Pitio la 03:24, 11 Januari 2014

Kibench ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wabench. Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kibench imehesabiwa kuwa watu 174,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibench kiko katika kundi la Kiomotiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibench kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.