Giza (Misri) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
[[Category:Miji ya Misri]] |
[[Category:Miji ya Misri]] |
||
[[Jamii:Mkoa wa Giza]] |
[[Jamii:Mkoa wa Giza]] |
||
[[no:Giza]] |
Pitio la 02:56, 11 Januari 2014
Giza | |
Mahali pa mji wa Giza katika Misri |
|
Majiranukta: 30°01′N 31°13′E / 30.017°N 31.217°E | |
Nchi | Misri |
---|---|
Mkoa | Giza |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,443,490 |
Giza (Kar.: الجيزة al-gīza) ni mji wa kaskazini ya Misri unaopakana na mji mkuu Kairo. Kuna wakazi 2,443,490 (2005).
Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa.
Giza yajulikana hasa kama mahali pa piramidi.