Paul Simon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ru:Саймон, Пол
d robot Adding: hu:Paul Simon
Mstari 17: Mstari 17:
[[fr:Paul Frederic Simon]]
[[fr:Paul Frederic Simon]]
[[he:פול סיימון]]
[[he:פול סיימון]]
[[hu:Paul Simon]]
[[id:Paul Simon]]
[[id:Paul Simon]]
[[it:Paul Simon]]
[[it:Paul Simon]]

Pitio la 05:50, 22 Novemba 2007

Paul Simon ni mwanamuziki wa country, anaimba na kupiga gitaa. Amewahi kushirikiana na wanamuziki wengi; moja ya makundi hayo ni Ladysmith Black Mambazo. Nyimbo alizowahi kuimba ni "Homeless", "Mother and child reunion" na "Diamond in the sole of her shoes".

Paul Simon alizaliwa tarehe 13 Oktoba, 1941 katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.