Mbu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
dNo edit summary |
||
Mstari 28: | Mstari 28: | ||
* ''[[w:Anopheles gambiae|Anopheles gambiae]]'', [[Anofelesi wa Gambia]] |
* ''[[w:Anopheles gambiae|Anopheles gambiae]]'', [[Anofelesi wa Gambia]] |
||
* ''[[w:Culex quinquefasciatus| Culex quinquefasciatus]]'', [[Kuleksi Mabaka-matano]] |
* ''[[w:Culex quinquefasciatus| Culex quinquefasciatus]]'', [[Kuleksi Mabaka-matano]] |
||
* ''[[w:Culex thalassius|Culex thalassius]], [[Kuleksi-pwani]] |
* ''[[w:Culex thalassius|Culex thalassius]]'', [[Kuleksi-pwani]] |
||
{{Mbegu-mdudu}} |
{{Mbegu-mdudu}} |
Pitio la 20:54, 16 Oktoba 2013
Mbu | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mbu wa aina ya anofelesi (Anopheles gambiae) akifyonza damu
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
Nusufamilia 3: |
Mbu ni wadudu wadogo wa familia Culicidae katika oda ya Diptera. Spishi za mbu zinazojulikana sana ni zile ambazo hufyunza damu. Ni majike ambao wanafyunza damu, kwa sababu lazima wakuze mayai. Madume na spishi nyingine za mbu hufyunza mbochi au utomvu. Mbu wafyunzao damu hurithisha magonjwa mara nyingi, k.m. malaria (spishi za anofelesi (Anopheles)), homanyongo, homa ya vipindi, chikungunya (spishi za Aedes) na matende (spishi za kuleksi (Culex)).
Spishi kadhaa za Afrika
- Aedes aegypti, Mbu wa Homanyongo
- Aedes albopictus, Mbu-misitu
- Anopheles funestus, Anofelesi Kamata
- Anopheles gambiae, Anofelesi wa Gambia
- Culex quinquefasciatus, Kuleksi Mabaka-matano
- Culex thalassius, Kuleksi-pwani
Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mbu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |