Bongo Flava : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
chimbuko la bongo fleva
d Masahihisho aliyefanya 41.222.181.154 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Addbot
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Nako 2 Nako.jpg|thumb|right|300px| Kundi la [[:en:Hip Hop|Hip Hop]] Kutoka [[Kaskazini]] mwa [[Tanzania]] '[[Arusha]]' ( [[Nako 2 Nako]] )]]
muziki huu ulitambulika miaka ya tisini kutoka kwenye muziki uliojulikana kama swahili rap.wanamuziki wengi wa zama hizo mpaka sasa ambao wanaimba muziki wa bongo flava walianzia kwenye rap music.Ukitazama waasisi wa bongo flava kama vile dully sykes,TID au hata matonya walianza kuimba rap music kabla ya kuingia kwenye haya mahadhi ya kizazi kipya.

'''Bongo Flava ''' ni muziki kutoka [[Tanzania]]. Bongo Flava sio staili moja ya muziki, ilamu ni mseto wa staili za muziki ambazo zimepewa umaarufu na ubunifu mkubwa kwa vijana nchini [[Tanzania]], hasa katika jiji la [[Dar Es Salaam]]. Ni mchangayiko wa R&B, Rap, Hip Hop, na midundo ya asili, n.k. Muziki huu hujulikana pia kwa jina la Muziki wa Kizazi Kipya.

==Viungo vya nje==
* [http://www.bongoflava.com/ Tovuti ya Bongo Flava]
* [http://www.swahiliremix.com/ Tovuti ya Swahili Remix]
* [http://www.mzibo.net/ Tovuti ya Mzibo]
* [http://www.fly.co.uk/fly/archives/africamiddle_east_features/whos_who_in_bon.html/ Nani ni nani katika Bongo Flava?]
* [http://www.mahusiano.com/ Tovuti ya Mahusiano]
* [http://www.bongoradio.com/ Tovuti ya Bongo Radio]
* [http://www.africanhiphop.com/ Tovuti ya African hiphop]
* [http://www.africanizers.i8.com/ Tovuti ya Africanizers Music]

{{mbegu-mwanamuziki-Afrika}}

{{DEFAULTSORT:Bongo, Flava}}
[[Category:Muziki wa Kizazi Kipya]]

Pitio la 21:41, 15 Septemba 2013

Kundi la Hip Hop Kutoka Kaskazini mwa Tanzania 'Arusha' ( Nako 2 Nako )

Bongo Flava ni muziki kutoka Tanzania. Bongo Flava sio staili moja ya muziki, ilamu ni mseto wa staili za muziki ambazo zimepewa umaarufu na ubunifu mkubwa kwa vijana nchini Tanzania, hasa katika jiji la Dar Es Salaam. Ni mchangayiko wa R&B, Rap, Hip Hop, na midundo ya asili, n.k. Muziki huu hujulikana pia kwa jina la Muziki wa Kizazi Kipya.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bongo Flava kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.