Isimu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q8162 (translate me)
Kaondosha yaliyomo
Mstari 1: Mstari 1:
'''Isimu''' (au "maarifa ya lugha") ni sayansi inayochunguza [[lugha]]. Imegawiwa katika matawi mbalimbali:
* [[fonetiki]] kuhusu sauti zinazotolewa na binadamu
* [[fonolojia]] kuhusu mfumo wa sauti katika lugha fulani
* [[mofolojia]] kuhusu mfumo wa maneno
* [[sintaksi]] kuhusu mfumo wa sentensi
* [[semantiki]] kuhusu maana

== Marejeo ==
* [[TUKI]] 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]]
* Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

== Tazama pia ==
* [[Lango:Lugha|Lango la lugha]]

{{mbegu-sayansi}}

[[Jamii:Isimu|*]]
[[Jamii:Lugha|Isimu]]
[[Jamii:Sayansi|Isimu]]

{{Link FA|bn}}
{{Link FA|gv}}

Pitio la 09:42, 25 Agosti 2013